Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
- Thread starter
- #61
Duh! Mpaka GPA tena! Mbona balaa! Kwa hiyo mwanamke kilaza kwako hana nafasi, hata kama zile sifa zaingine hapo juu anazo?
Kilaza kabisa hapana aisee. Sasa mimi na kilaza tutakuwa na mazungumzo gani? Nataka mtu aliye versatile...ninayeweza kuongea naye kuhusu NBA playoffs, FA Premier league, stem cell research, world events, etc.