bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Anyways, nitaitafuta taratibu and nitaiweka hapa. Ila ulisema. But sasa kama hata hupendi kulala na mtu inakuwaje ukiwa na huyo date? Manake nakumbuka vizuri ulisema unapenda kujinafasi kitandani. Huoni kama utakuwa humtendei haki date wako?
kumbe lazim aukim-date mtu mlale pamoja eeh??