Imeniuma sana kusikia lecturer wa richmondi kashinda......maaanina wakimtangaza maalim,
Na sisi huku tunashawishi UKAWA watangaze hivyo hivyo
Ndio maana muliambiwa malofa. Mmejaa ujinga sasa hapa unahamasisha nini mulizani ikulu ni ya kaskazini. Mtaisoma number mwaka huu.