Kyela hali mbaya, mwandishi apigwa

Majaribu2013

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
952
1,043
HALI YA AMANI KYELA SI NZURI,
Mwandishi wa habari Masoud Maulid amepigwa na kuumizwa na polisi pamoja na chombo cha usafiri Pikipiki imeharibiwa vibaya;
Tumeenda kumuona polisi hawaruhusu mtu yeyote kukanyaga kituoni muda huu unaishia barbarani. hata hivyo tumeambiwa yupo hospital kutibiwa lakini na huko hawaruhusu myu yeyote kuona wagonjwa polisi wanalinda na silaha za moto.
Pamoja na vijana wengine wamekamatwa na kupigwa wameumizwa!


Inavyosemekana mweshimiwa ameshindwa na kagoma kusaini.

Hatari sana
 
Mwangosi walisherekea safari hii hakuna damu ya mtanzania itakayoenda bure
 
huyu mheshimiwa si ndiye alikuwa anatufundisha demokrasia, sasa inakuwaje hataki kusaini!?
Nafikiri vyuo vyetu vifute kozi zote alafu kwa miaka 10 wafanye utafiti kujua kama Watanzania/Afrika tuna kasoro!
 
Pengine jamaa alishaahidiwa uwaziri sasa anaona unamponyoka hivihivi! Mbona sisi tusio ma Dr., wabunge wala mawaziri maisha yanasonga tu! Doctor (PhD) anaona bila Ubunge maisha yatakuwa tabu!!!
 
DR kuna wanasiasa wanaamini hata wasipo perform kwenye majimbo yao wataendelea kupendwa na wananchi wao
hili ni FUNDISHO,ndio maana hata wabunge wote MACHACHARI WAMEPITA,VILAZA WENGINE WAMWEMWAGWA.
 
Dr hataki kuamini kwamba kachinjwa
Uongo na umbea vimemgharimu sana huyo Dr. Hafai hata kurudi kufundisha kwani mtu anayefikia kuyakana hata maandiko yake ili akamilishe uongo wake anastahili kumtoa kwenye kundi la wasomi na kumwingiza kwenye kundi la wanafiki.
 
Uongo na umbea vimemgharimu sana huyo Dr. Hafai hata kurudi kufundisha kwani mtu anayefikia kuyakana hata maandiko yake ili akamilishe uongo wake anastahili kumtoa kwenye kundi la wasomi na kumwingiza kwenye kundi la wanafiki.
"like"
Hata wanafunzi watakuwa na mashaka maana anaweza asubuhi akafundisha 2+2=4 alafu lecture ya jioni ikawa 22!
 
Back
Top Bottom