Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,198
- 5,367
Wengi msilolijua kuhusu nyoka na porini ni kwamba tunakutana na nyoka wengi sana porini na barabarani hasa vijijini ila nyoka wanatuepuka bila sisi kuwaona.
Nyoka anahisi hatari ya binadamu kwa kishndo chake tuu akiwa mbali na anakuepuka. Na ndio maana ni rahisi kumuona nyoka akiwa kwenye windo, au sehemu ya wazi au kumbabatiza " encounter" yani papo kwa papo mmekutana, hakutarajia wala hukutarajia.
Nyoka anahisi hatari ya binadamu kwa kishndo chake tuu akiwa mbali na anakuepuka. Na ndio maana ni rahisi kumuona nyoka akiwa kwenye windo, au sehemu ya wazi au kumbabatiza " encounter" yani papo kwa papo mmekutana, hakutarajia wala hukutarajia.