LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
hivi akitokea mbunge aliyeruhusiwa kuchangia hoja au kuuliza swali la nyongeza halafu akasimama na kusema sentensi ifuatayo bungeni kisha kukaa kitini au kutoka nje ya bunge baada ya kuisema itakuwaje ama spika atafanya nini? [TOA MAONI YAKO KAMA UNGEKUWA SPIKA]:-
"JAMANI WAHESHIMIWA WABUNGE, SINA IMANI NA MWENENDO WA SPIKA KATIKA KUISIMAMIA SERIKALI"
"JAMANI WAHESHIMIWA WABUNGE, SINA IMANI NA MWENENDO WA SPIKA KATIKA KUISIMAMIA SERIKALI"