This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,904
- 4,980
Hili I Ni bandiko kwa ajili ya kukusanya maoni , mawazo, mitazamo, ukosoaji, pongezi kutoka kwa wanasimba na wadau wa futiboli kwa ujumla.
Unakaribishwa kuweka maoni yako hapa ukijita katika vipengele vifuatavyo: Nini kifanyike,Ni Nini maoni yako,mapendekezo, changamoto unazoziona na Ni wapi Simba inafeli katika:
A. UONGOZI WA TIMU
B. BENCHI LA UFUNDI
C. TUNAFELI WAPI KTK USAJILI
D. ATHARI ZA MWEKEZAJI
E. MASUALA MTAMBUKA
Tiririka hapa.
Unakaribishwa kuweka maoni yako hapa ukijita katika vipengele vifuatavyo: Nini kifanyike,Ni Nini maoni yako,mapendekezo, changamoto unazoziona na Ni wapi Simba inafeli katika:
A. UONGOZI WA TIMU
B. BENCHI LA UFUNDI
C. TUNAFELI WAPI KTK USAJILI
D. ATHARI ZA MWEKEZAJI
E. MASUALA MTAMBUKA
Tiririka hapa.