Tokea saa 12 hatuna umeme kwenu jee
Kwenu umeme upo? Kuanzia Mbezi, Kibamba, Goba hadi Ubungo na maeneo mengi hayana umeme
Hili shirika daaah
Sawa menejaUmeme umezidi mpaka unaunguza nyaya
Sisi ZANZIBAR hatukatiwagi, kwenu inakuwaje huko Bara?Tokea saa 12 hatuna umeme kwenu jee
Kwenu umeme upo? Kuanzia Mbezi, Kibamba, Goba hadi Ubungo na maeneo mengi hayana umeme
Hili shirika daaah
Ya eneo husika?**** hitlifu imetokea nimeona gari ya tanesco imepita