CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Nilikuwa namaanisha Basutu ya Hanang,
Kwa upande wa mtama inabidi watu wawatembelee TBL. Hata kule Kilolo, Kaburu kapewa yale mashamba ya Tbl ya zamani, analima ngano.
Niwakumbushe, tusisahau apples za Njombe njia ya kuelekea kipengere, ni nzuri sana na zinazaa sana. Soko la ndani ni kubwa sana kabla hatujafikiria kupeleka Kenya.
Mkuu kule BASUTU kwa sasa ni historia na kwa ujumla mikoa ya Arusha wilaya zilizo kuwa zikilima ngano kama
1KARATU
2. MONDULI NA HANANGI SASA IKO MANYARA
Haya maeneo kwa sasa hawalimi tena ngano kwa wingi na hii ni kutokana na TBL kuagiza ngani karibia yote kutoka south Africa na wachache wanao lima hawalimi Bare tena bali wanalima ile ya kula ya kupikia mikate ambayo bado inasoko kwa viwanda vya mikate vya arusha, ila hii ya Bia hailimwi kwa wingi tena