Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
kuna mtu ana data za kilimo cha ndizi kwa biashara, nilisoma za uganda ni average ya 15 tonnes/ ha japokuwa research institute wanafika mpaka 60. hivi mkungu by average una uzito gani?, sh ngapi? zaidi ya maeneo mengine zaidi ya kagera, mbeya na kilimanjaro ndizi zinaweza kustawi vizuri? mwenye data pls!
Hiyo 15 tones ni kwa ekari moja au hekta moja?