HASSAN SHEN
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 428
- 69
Polisi wako mtaani kwangu muda huu maeneo ya magomeni wanawakamata wale wote waliokataa kuhesabiwa.
Polisi wako mtaani kwangu muda huu maeneo ya magomeni wanawakamata wale wote waliokataa kuhesabiwa.
Kwa mpango huu itabidi waongeze magereza...
Watafunguliwa charge ipi itayowakuta na hatia hadi wapelekwe magereza.
haswaaa
kamishna wa sensa kasema imefanikiwa kwa 90% nimemwona jana ITV habari.
tehe! tehe ! wadanganyika. Wadanganyika hoyeeeeeeee! Halafu nasikia Nyerere ameonekana Butiama akihamasisha sensa. Kweli Zoezi supa.
Watafungiwa kwenye ma.godownKwa mpango huu itabidi waongeze magereza...
Polisi wako mtaani kwangu muda huu maeneo ya magomeni wanawakamata wale wote waliokataa kuhesabiwa.
Kwani lengo la serikali ni kupata idadi kamili ya wananchi? au kupata MAKISIO na MAKADIRIO ya idadi ya watu Kwa mwaka 2012?
Pole sana baba! Umehesabiwa lkn
Kwani lengo la serikali ni kupata idadi kamili ya wananchi? au kupata MAKISIO na MAKADIRIO ya idadi ya watu Kwa mwaka 2012?
tehe! tehe ! wadanganyika. Wadanganyika hoyeeeeeeee! Halafu nasikia Nyerere ameonekana Butiama akihamasisha sensa. Kweli Zoezi supa.
Eneo nililopo mimi kuna waliokataa kuhesabiwa wakaitiwa police.....baada ya police kufika wamefanya kituko cha kufungia mwaka......wamekubali kuhesabiwa ila sasa kwenye lile swali la usiku wa kuamkia leo wamelala watu wangapi hapa utaipenda......kuna mmjoja amesema wamelala watu 20.....akaambiwa ataje tobaaaaa ameorodhesha nafikiri mpaka marehemu.....manake amewataja mfululizo bila kusita......alipoambiwa ataje umri wa hao watu akaanza kujichanganya.....mara anataja umri unaofanana kwa watu zaidi ya wa 3......karani wa sensa akamuuliza hao watu ni mapacha?.....akamjibu watakuwaje mapacha wakati nimewataja baba zao tofauti?......nyumba nyingine nako hivyo hivyo....nyumba ina baba , mama , na watoto wawili wanasema wamelala watu zaidi ya 10......kwa kifupi hili zoezi limeharibika serikali ikatae/ ikubali......na tena waache kutangaza kila siku tbc1 kuwa zoezi la sensa limeenda vizuri manake hakuna kitu kama hicho......labda waseme limeenda vizuri vile wao wamefanikiwa kujichotea mahela kwaajili ya uchaguzi mkuu ujao!
Polisi wako mtaani kwangu muda huu maeneo ya magomeni wanawakamata wale wote waliokataa kuhesabiwa.