Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Global Publisher nadhani mnastahili kusoma hii kwa umakini.
Tabia yenu ya kuchapisha picha za watu waiopatwa na umauti katika ajali mbalimbali inachefua na inaondosha kabisa misingi ya Utu.
Umeongea vema ndugu yangu. Hawa jamaa wa global publishers siku zote huwa wananiboa sana kwa mipicha yao ya hovyohovyo. Mara wapige picha za uchi na mara hizo za waliokutana na mauti tena wanaweka kwenye kurasa za mbele. Hawa jamaa ni waandishi wa kusomea au ni makanjanja fulani?