LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nimemwona kwa macho yangu bila ya chenga IGP Said Mwema akiwa ktk Jiji la Arusha akielekea Sakina majira ya 6:20pm ndani ya Landcruiser V8 nyeupe mbele ikiwepo landcruiser moja boxboard nyeupe ya king'ora na kutosha kabisa msafara ya IGP wa Tanzania ye2 na ndipo nikakumbuka juzi Bungeni vyama vya upinzani ikilaani wingi wa magari ktk misafara isiyo ya lazima. Nimewakilisha tu!