Kweli tunapenda ufahari na starehe...?

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,524
863
Dr. Slaa amesema sawia, serikali inakopa ili viongozi walipane mishahara na posho. bila kusahau sherehe na matamasha mbali mbali pale mnazi mmoja.

ANGALIA UKUMBI WA BUNGE LA KENYA (kama Karimjee hall) KISHA ANGALIA UKUMBI WETU WA BUNGE, utagundua viongozi wetu walivyo elemewa na anasa vichwani mwao hata kama deni la Taifa linazidi kuongezeka.
 
Dr. Slaa amesema sawia, serikali inakopa ili viongozi walipane mishahara na posho. bila kusahau sherehe na matamasha mbali mbali pale mnazi mmoja.

ANGALIA UKUMBI WA BUNGE LA KENYA (kama Karimjee hall) KISHA ANGALIA UKUMBI WETU WA BUNGE, utagundua viongozi wetu walivyo elemewa na anasa vichwani mwao hata kama deni la Taifa linazidi kuongezeka.

Mkuu umeongea pointi muhimu. Ndo mana hii nchi haiendi mbele. Sherehe na starehe zinzpewa vipaumbele sana kuliko maendeleo.
 
Dr. Slaa amesema sawia, serikali inakopa ili viongozi walipane mishahara na posho. bila kusahau sherehe na matamasha mbali mbali pale mnazi mmoja.

ANGALIA UKUMBI WA BUNGE LA KENYA (kama Karimjee hall) KISHA ANGALIA UKUMBI WETU WA BUNGE, utagundua viongozi wetu walivyo elemewa na anasa vichwani mwao hata kama deni la Taifa linazidi kuongezeka.

Mkuu umeongea hoja ya msingi. Hii nchi ndio maana haiendi mbele kwa sababu viongozi wanapenda sherehe sana .
 
Dr. Slaa amesema sawia, serikali inakopa ili viongozi walipane mishahara na posho. bila kusahau sherehe na matamasha mbali mbali pale mnazi mmoja.

ANGALIA UKUMBI WA BUNGE LA KENYA (kama Karimjee hall) KISHA ANGALIA UKUMBI WETU WA BUNGE, utagundua viongozi wetu walivyo elemewa na anasa vichwani mwao hata kama deni la Taifa linazidi kuongezeka.

Hivi utadhani tulikuwa pamoja dk1 iliyopita nimepost hapa uzi kama huu hebu nipe like na mimi pia nikupe
 
Back
Top Bottom