Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Gari ya bei kubwa zaidi dunia ni Bugatti Veyron Super Sport inayogharimu $2,400,000 (Tshs 3.84 billion); na Lamborghini Reventon ni ya nne kwa bei ya $1,600,000 (Tshs 2.56 billion); na bei zote hizo ni kwa gari mpya, siyo mtumba.
Source: http://www.thesupercars.org/top-cars/most-expensive-cars-in-the-world-top-10-list/
Hivyo ya pedeshee Mosha ni Lamborghini ya na kainunua kwa mtu (Yusufu Bakresa) kwa Tshs 1 billion ambayo 39 % ya bei ya Lamborghini Reventon mpya!!!!
View attachment 59512
Source: http://www.thesupercars.org/top-cars/most-expensive-cars-in-the-world-top-10-list/
Hivyo ya pedeshee Mosha ni Lamborghini ya na kainunua kwa mtu (Yusufu Bakresa) kwa Tshs 1 billion ambayo 39 % ya bei ya Lamborghini Reventon mpya!!!!
View attachment 59512