Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 168
- 254
Wakuu nimekubali baadhi yetu hatuwezi kuridhika 100% kwa tunachokipata.
Kuna kipindi nilitamani sana kama ningekuwa japokuwa na ka-take home ka 800k na baada ya kufanikiwa kupata nikaona hapa bado sana.Sasa hivi nina 1.6m kama take home na bado naona nahitaji kupata zaidi.Yaani najiona choka mbaya tu
Sasa leo nimejiuliza hivi kwa nini nisiishi tu kama vile napata 500k kwa mwezi badala ya kupandisha standards ili nipate mafanikio haraka?..nadhani nianze kufanya hivi.
Uzi tayari.
Kuna kipindi nilitamani sana kama ningekuwa japokuwa na ka-take home ka 800k na baada ya kufanikiwa kupata nikaona hapa bado sana.Sasa hivi nina 1.6m kama take home na bado naona nahitaji kupata zaidi.Yaani najiona choka mbaya tu
Sasa leo nimejiuliza hivi kwa nini nisiishi tu kama vile napata 500k kwa mwezi badala ya kupandisha standards ili nipate mafanikio haraka?..nadhani nianze kufanya hivi.
Uzi tayari.