Kweli ni ipi hapa kuhusu hekalu alilojenga Suleiman?

Vladmir Putini

JF-Expert Member
Mar 22, 2022
777
1,442
Habari wana JF.

Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua.

Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu bila kujua jibu sahihi ni lipi.

Ukiachana na mgogoro wa ardhi ulioko sasa kati ya wayahudi na wapalestina, kuna hili la HEKALU nalo ni kaa la moto.

Wayahudi wanaliita HEKALU,

WAKRISTO wanaliita KANISA na

Waislam wanaita MSIKITI

Yaani ki-ufupi wote watatu wanamaanisha kitu kile kile ambacho pia kinaonekana kuleta utata.

Sasa DINI ya KIYAHUDI na UKRISTO nitaiunganisha nitakapokuwa naelezea hili (maana tofauti ya dini hii huwa ni ndogo sana) lakini kwa UISLAM nitaielezea kitofauti kabisa.

KWA WAKRISTO : MCHUNGAJI MOSES MAGHEMBE anasema kwamba : HEKALU alilojenga suleiman liliharibiwa kwa mara ya kwanza na mfalme NEBUKADREZA kutoka Babeli mwaka 586 BC, kabla ya kuzaliwa YESU.

Alafu likaja kujengwa mara ya pili na DAUD nafikiri, lakini likaja likaharibiwa tena mara ya pili na Jenaral TITUS wa roman empire mwaka 70 AD baada ya kuzaliwa YESU.

Lakini mchungaji MAGHEMBE anaendelea kusema kwamba biblia imetabiri unabii wa kujengwa kwa HEKALU mara ya tatu kabla ya YESU kurudi tena.

Anaendelea kusema kuwa tayari mipango ya ujenzi imushawekwa tangu mwaka 1989 ambapo kuna kampuni ya kiyahudi imejipanga kwa ajili ya hilo, na anaesimamia mipango ya ujenzi wa HEKALU alimataja kwa jina sema nimemsahau kidogo ila ni kama RABI FRAIMAN nadhani nnavokumbukia.

Na anaendelea kusema kwamba tayari vitu vyote vilivyokuwa ndani ya HEKALU wayahudi washavitengezaga imebaki tu kusimamisha jengo.

Lakini kamalizia kwa kusema kinacho chelewesha ujenzi wa HEKALU hilo hadi sasa ni "kuna jengo la dini nyingine limejengwa pale lilipokuwa HEKALU la SULEIMAN" πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hapana nadhani alimaanisha MSIKITI WA wa AL-AQSA sema aliogopa kutaja wazi.

Na kasema wayahudi hawawezi kujenga jengo HEKALU sehemu nyingine tofauti na pale lilipo hilo jengo la DINI nyingine (Bila shaka ni MASJID AL AQSA ana maanisha).

TUJE KWENYE UISLAMU sasa : Kwa mujibu wa SHEKH AL-HAJI SULLE yeye hatumii neno HEKALU bali anatumia neno MSIKITI.

SHEKH SULLE anasema kwamba MSIKITI ulijengwa na nabii Suleiman na ukaja kuharibiwa na NEBUKADREZA mwaka 586 BC.

Anaendelea kusema kwamba Msikiti huo baada ya kuharibiwa na NEBUKADREZA ulikuja kujengwa tena mara ya pili lakini ukaja ukaharibiwa tena jenaral TITUS wa RUMI Mwaka 70 AD.

Nilicho furahi hapa ni kwamba MAELEZO ya SHEKH SULLE yameenda sambamba kabisa na ya mchungaji MAGHEMBE bila kutofautiana hata kidogo ila tu tofauti ipo kwenye huyu anatumia neno HEKALU na mwingine anatumia neno MSIKITI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Lakini nikaona tofauti za majina siyo isssue kubwa kwa sababu zote ni nyumba za IBADA πŸ˜‚

SASA KUBWA KULIKO NI HII HAPA : Mchungaji maghembe anasema HEKALU la tatu bado halijajengwa ila mipango ya kulijenga imeshakamilika shida ni moja tu, mahali lilipokuwa hekalu pana jengo la dini nyingine πŸ˜… (masjid Al Aqsa) na wayahudi hawawezi kujenga hekalu tofauti na hapo.

Lakini SHEKH SULLE anasema MSIKITI wa Tatu ushajengwa tayari na ndiyo huo unauona sasahivi MASJID AL AQSA ambao uko Jerusalem.

Anasema msikiti huo ulijengwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA kutoka MADINA, SAUD ARABA mwaka 689-691 aliyeitwa ABD AL-MALICK 😁😁😁

Sasa hapa nishachanganyikiwa nashindwa kutambua ukweli uko wapo 😁😁😁

Kwa Wayahudi na Wakristo HEKALU/KANISA kwa mara tatu bado halijajengwa ila ndiyo lipo kwenye maandalizi ya ujenzi, na kinachokwamisha ujenzi huo hadi sasa ni uwepo wa jengi la dini nyingine, yaani msikiti wa AL-AQSA.

Lakini kwa waislam MSIKITI huo alio haribiwa na RUMI chini ya jenerali TITUS tayari umeshajengangwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA ABD AL-MALICK kutoka MADINA tangu mwaka 689-691 AD.

Sasa kina nani wapo sahihi ? Huu mgogoro ni mgumu sana kwa kweli.

Je, wayahudi watakuwa tayari kuubomoa msikiti wa AL-AQSA ili wajenge hekalu lao ? yatakuwa maamuzi magumu na ni hatari yanayoweza kusababisha umwagaji damu mbaya sana, maana ni mgongano wa imani tofauti.

Lakini Je, Waislam watakubali msikiti wao ubomolewe na wayahudi ili wao wajenge HEKALU lao ?

SHEKH SULE anasema waislam wote duniani wapo tayari kuulinda huo msikiti kwa gharama yeyote ile.

Hapo ndipo kitendawili kilipo .
 
Dini ya kiislam ni dini iliyojengwa kwenye propaganda nyingi sana za kuchanganya ukweli kidogo na uongo mwingi, ujenzi na ubomolewaji wa hilo hekaru ulitabiliwa na kuandikwa wenye vitabu vya torati na kila kitu kilienda kama ilivyotabiliwa.

Sasa ili kuweza kuaminisha umma wa kiislam kama dini yao imetokana na ibrahim,ilibidi kuanza kutunga historia za uongo kutoka katika torati na zaburi,hii pia ikaenda sambamba na kuvamia na kupora maeneo na miji ya wayahudi na kujimilikisha ikiwepo kujenga kwa huo msikini wa al qwasa mjini Jerusalem.

Ukiacha propaganda za kiislamu,bado hiatoria na ukweli uko wazi juu ya umiliki halali wa hilo hekalu na ardhi ya israel kwa Wayahudi.
 
Habari wana JF.

Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua.

Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu bila kujua jibu sahihi ni lipi.

Ukiachana na mgogoro wa ardhi ulioko sasa kati ya wayahudi na wapalestina, kuna hili la HEKALU nalo ni kaa la moto.

Wayahudi wanaliita HEKALU,

WAKRISTO wanaliita KANISA na

Waislam wanaita MSIKITI

Yaani ki-ufupi wote watatu wanamaanisha kitu kile kile ambacho pia kinaonekana kuleta utata.

Sasa DINI ya KIYAHUDI na UKRISTO nitaiunganisha nitakapokuwa naelezea hili (maana tofauti ya dini hii huwa ni ndogo sana) lakini kwa UISLAM nitaielezea kitofauti kabisa.

KWA WAKRISTO : MCHUNGAJI MOSES MAGHEMBE anasema kwamba : HEKALU alilojenga suleiman liliharibiwa kwa mara ya kwanza na mfalme NEBUKADREZA kutoka Babeli mwaka 586 BC, kabla ya kuzaliwa YESU.

Alafu likaja kujengwa mara ya pili na DAUD nafikiri, lakini likaja likaharibiwa tena mara ya pili na Jenaral TITUS wa roman empire mwaka 70 AD baada ya kuzaliwa YESU.

Lakini mchungaji MAGHEMBE anaendelea kusema kwamba biblia imetabiri unabii wa kujengwa kwa HEKALU mara ya tatu kabla ya YESU kurudi tena.

Anaendelea kusema kuwa tayari mipango ya ujenzi imushawekwa tangu mwaka 1989 ambapo kuna kampuni ya kiyahudi imejipanga kwa ajili ya hilo, na anaesimamia mipango ya ujenzi wa HEKALU alimataja kwa jina sema nimemsahau kidogo ila ni kama RABI FRAIMAN nadhani nnavokumbukia.

Na anaendelea kusema kwamba tayari vitu vyote vilivyokuwa ndani ya HEKALU wayahudi washavitengezaga imebaki tu kusimamisha jengo.

Lakini kamalizia kwa kusema kinacho chelewesha ujenzi wa HEKALU hilo hadi sasa ni "kuna jengo la dini nyingine limejengwa pale lilipokuwa HEKALU la SULEIMAN" πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hapana nadhani alimaanisha MSIKITI WA wa AL-AQSA sema aliogopa kutaja wazi.

Na kasema wayahudi hawawezi kujenga jengo HEKALU sehemu nyingine tofauti na pale lilipo hilo jengo la DINI nyingine (Bila shaka ni MASJID AL AQSA ana maanisha).

TUJE KWENYE UISLAMU sasa : Kwa mujibu wa SHEKH AL-HAJI SULLE yeye hatumii neno HEKALU bali anatumia neno MSIKITI.

SHEKH SULLE anasema kwamba MSIKITI ulijengwa na nabii Suleiman na ukaja kuharibiwa na NEBUKADREZA mwaka 586 BC.

Anaendelea kusema kwamba Msikiti huo baada ya kuharibiwa na NEBUKADREZA ulikuja kujengwa tena mara ya pili lakini ukaja ukaharibiwa tena jenaral TITUS wa RUMI Mwaka 70 AD.

Nilicho furahi hapa ni kwamba MAELEZO ya SHEKH SULLE yameenda sambamba kabisa na ya mchungaji MAGHEMBE bila kutofautiana hata kidogo ila tu tofauti ipo kwenye huyu anatumia neno HEKALU na mwingine anatumia neno MSIKITI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Lakini nikaona tofauti za majina siyo isssue kubwa kwa sababu zote ni nyumba za IBADA πŸ˜‚

SASA KUBWA KULIKO NI HII HAPA : Mchungaji maghembe anasema HEKALU la tatu bado halijajengwa ila mipango ya kulijenga imeshakamilika shida ni moja tu, mahali lilipokuwa hekalu pana jengo la dini nyingine πŸ˜… (masjid Al Aqsa) na wayahudi hawawezi kujenga hekalu tofauti na hapo.

Lakini SHEKH SULLE anasema MSIKITI wa Tatu ushajengwa tayari na ndiyo huo unauona sasahivi MASJID AL AQSA ambao uko Jerusalem.

Anasema msikiti huo ulijengwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA kutoka MADINA, SAUD ARABA mwaka 689-691 aliyeitwa ABD AL-MALICK 😁😁😁

Sasa hapa nishachanganyikiwa nashindwa kutambua ukweli uko wapo 😁😁😁

Kwa Wayahudi na Wakristo HEKALU/KANISA kwa mara tatu bado halijajengwa ila ndiyo lipo kwenye maandalizi ya ujenzi, na kinachokwamisha ujenzi huo hadi sasa ni uwepo wa jengi la dini nyingine, yaani msikiti wa AL-AQSA.

Lakini kwa waislam MSIKITI huo alio haribiwa na RUMI chini ya jenerali TITUS tayari umeshajengangwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA ABD AL-MALICK kutoka MADINA tangu mwaka 689-691 AD.

Sasa kina nani wapo sahihi ? Huu mgogoro ni mgumu sana kwa kweli.

Je, wayahudi watakuwa tayari kuubomoa msikiti wa AL-AQSA ili wajenge hekalu lao ? yatakuwa maamuzi magumu na ni hatari yanayoweza kusababisha umwagaji damu mbaya sana, maana ni mgongano wa imani tofauti.

Lakini Je, Waislam watakubali msikiti wao ubomolewe na wayahudi ili wao wajenge HEKALU lao ?

SHEKH SULE anasema waislam wote duniani wapo tayari kuulinda huo msikiti kwa gharama yeyote ile.

Hapo ndipo kitendawili kilipo .
Huwa mkuu nasahihisha sana humu ndani Dome of rock kama inavyoonekana kwenye picha sio Masjid al Aqsa bali ni jengo tu ndani ya Eneo linaloqualify kama AL Aqsa.
images (61).jpg

Hilo ni jengo kama majengo mengine.

Kwa sisi waisilamu Masjid Al Aqsa ni eneo na sio Jengo, Waisilamu Palestina waki swali Al Aqsa wanaswali Open space

Hii picha inaonesha umati wa watu kama 250,000 wanaswali huku wakiipa Mgongo Dome of rock.

images (62).jpg

Hii Ni ramani inaonesha Al Aqsa

images (63).jpg

Huo mstari wa orange eneo lolote ni Masjid Al Aqsa.

Pia hilo eneo kwa miaka zaidi ya 1000 dini zote 3 zipo hapo, Palestina ya kabla ya 1948 ilikua na wayahudi na wakristo na wote wanaabudu kwa Kuheshimiana.

Waisrael wa sasa hawaongozwi na Dini ni Zionist wanatumia tu Uyahudi kama kisingizio. Myahudi hali nguruwe, myahudi hali kibudu, myahudi hakubali Ushoga etc lakini Israel ya sasa inafanya yote hayo. Orthodox jews ambao wanafuata Torah wengi hawakubaliani na taifa la sasa la Israel. Hivyo usishangae waki chukua hilo eneo wakalifanya Mc Donald ama KFC ama hata wakaweka Danguro la Mashoga.


Mfano wa Anti Zionist jew

View: https://m.youtube.com/watch?v=gVuHgaTdysY

Nenda youtube search Anti Zionist jews upate faida ya upande mwengine wa Jews ambao unawapenda waisilamu na wakristo wa Palestina na wao wanavaa vitambaa vyeupe na nyeusi kama wapalestina wengine.
 
Hizo zinazendelea hapo no sanaa tu.
Lilibomolewa na Nebukadneza,
Herode alipojaribu kulitanua na kurekebisha likachomwa moto na warumi Mwaka 70AD.

Hata wanaobishana wanajua wanasukuma muda tu, hakuna ukweli wa uwepo wa hilo hekalu leo.
 
Hilo hekalu halipo. Warumi waliliharibu na kuhamishia vitu vingi kwao Roma. Kulingana na biblia hilo hekalu lilikuwa na vitu vingi sana vya thamani.
 
Habari wana JF.

Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua.

Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu bila kujua jibu sahihi ni lipi.

Ukiachana na mgogoro wa ardhi ulioko sasa kati ya wayahudi na wapalestina, kuna hili la HEKALU nalo ni kaa la moto.

Wayahudi wanaliita HEKALU,

WAKRISTO wanaliita KANISA na

Waislam wanaita MSIKITI

Yaani ki-ufupi wote watatu wanamaanisha kitu kile kile ambacho pia kinaonekana kuleta utata.

Sasa DINI ya KIYAHUDI na UKRISTO nitaiunganisha nitakapokuwa naelezea hili (maana tofauti ya dini hii huwa ni ndogo sana) lakini kwa UISLAM nitaielezea kitofauti kabisa.

KWA WAKRISTO : MCHUNGAJI MOSES MAGHEMBE anasema kwamba : HEKALU alilojenga suleiman liliharibiwa kwa mara ya kwanza na mfalme NEBUKADREZA kutoka Babeli mwaka 586 BC, kabla ya kuzaliwa YESU.

Alafu likaja kujengwa mara ya pili na DAUD nafikiri, lakini likaja likaharibiwa tena mara ya pili na Jenaral TITUS wa roman empire mwaka 70 AD baada ya kuzaliwa YESU.

Lakini mchungaji MAGHEMBE anaendelea kusema kwamba biblia imetabiri unabii wa kujengwa kwa HEKALU mara ya tatu kabla ya YESU kurudi tena.

Anaendelea kusema kuwa tayari mipango ya ujenzi imushawekwa tangu mwaka 1989 ambapo kuna kampuni ya kiyahudi imejipanga kwa ajili ya hilo, na anaesimamia mipango ya ujenzi wa HEKALU alimataja kwa jina sema nimemsahau kidogo ila ni kama RABI FRAIMAN nadhani nnavokumbukia.

Na anaendelea kusema kwamba tayari vitu vyote vilivyokuwa ndani ya HEKALU wayahudi washavitengezaga imebaki tu kusimamisha jengo.

Lakini kamalizia kwa kusema kinacho chelewesha ujenzi wa HEKALU hilo hadi sasa ni "kuna jengo la dini nyingine limejengwa pale lilipokuwa HEKALU la SULEIMAN" πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hapana nadhani alimaanisha MSIKITI WA wa AL-AQSA sema aliogopa kutaja wazi.

Na kasema wayahudi hawawezi kujenga jengo HEKALU sehemu nyingine tofauti na pale lilipo hilo jengo la DINI nyingine (Bila shaka ni MASJID AL AQSA ana maanisha).

TUJE KWENYE UISLAMU sasa : Kwa mujibu wa SHEKH AL-HAJI SULLE yeye hatumii neno HEKALU bali anatumia neno MSIKITI.

SHEKH SULLE anasema kwamba MSIKITI ulijengwa na nabii Suleiman na ukaja kuharibiwa na NEBUKADREZA mwaka 586 BC.

Anaendelea kusema kwamba Msikiti huo baada ya kuharibiwa na NEBUKADREZA ulikuja kujengwa tena mara ya pili lakini ukaja ukaharibiwa tena jenaral TITUS wa RUMI Mwaka 70 AD.

Nilicho furahi hapa ni kwamba MAELEZO ya SHEKH SULLE yameenda sambamba kabisa na ya mchungaji MAGHEMBE bila kutofautiana hata kidogo ila tu tofauti ipo kwenye huyu anatumia neno HEKALU na mwingine anatumia neno MSIKITI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Lakini nikaona tofauti za majina siyo isssue kubwa kwa sababu zote ni nyumba za IBADA πŸ˜‚

SASA KUBWA KULIKO NI HII HAPA : Mchungaji maghembe anasema HEKALU la tatu bado halijajengwa ila mipango ya kulijenga imeshakamilika shida ni moja tu, mahali lilipokuwa hekalu pana jengo la dini nyingine πŸ˜… (masjid Al Aqsa) na wayahudi hawawezi kujenga hekalu tofauti na hapo.

Lakini SHEKH SULLE anasema MSIKITI wa Tatu ushajengwa tayari na ndiyo huo unauona sasahivi MASJID AL AQSA ambao uko Jerusalem.

Anasema msikiti huo ulijengwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA kutoka MADINA, SAUD ARABA mwaka 689-691 aliyeitwa ABD AL-MALICK 😁😁😁

Sasa hapa nishachanganyikiwa nashindwa kutambua ukweli uko wapo 😁😁😁

Kwa Wayahudi na Wakristo HEKALU/KANISA kwa mara tatu bado halijajengwa ila ndiyo lipo kwenye maandalizi ya ujenzi, na kinachokwamisha ujenzi huo hadi sasa ni uwepo wa jengi la dini nyingine, yaani msikiti wa AL-AQSA.

Lakini kwa waislam MSIKITI huo alio haribiwa na RUMI chini ya jenerali TITUS tayari umeshajengangwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA ABD AL-MALICK kutoka MADINA tangu mwaka 689-691 AD.

Sasa kina nani wapo sahihi ? Huu mgogoro ni mgumu sana kwa kweli.

Je, wayahudi watakuwa tayari kuubomoa msikiti wa AL-AQSA ili wajenge hekalu lao ? yatakuwa maamuzi magumu na ni hatari yanayoweza kusababisha umwagaji damu mbaya sana, maana ni mgongano wa imani tofauti.

Lakini Je, Waislam watakubali msikiti wao ubomolewe na wayahudi ili wao wajenge HEKALU lao ?

SHEKH SULE anasema waislam wote duniani wapo tayari kuulinda huo msikiti kwa gharama yeyote ile.

Hapo ndipo kitendawili kilipo .


Suluhu ya huo mgogoro inapaswa itoke kwenye kufungamana na Iman yoyote kati ya hizo.. ukiniuliza mie nitakupa jibu rahs ingawa najua haliwezekana sababu ya wahafidhina wa pande zote mbili ( Wayahudi na Waislam)..

kwanza ujue mgogoro huo ni mgumu sababu shida sio tu hilo eneo shida imekwenda mbali zaid.. kuna mambo mawili

Imani na Aili ya watu kijografia

PALESTINES SUPPORT

Islam world
kinachowaleta Waislam wotekuwa nyuma ya Palestine ni swala la kiimaani .. maana kwa iman yao hiyo sehem ni takatifu kwao haipaswi kukaliwa na watu wa iman tofauti achilia mbali kujengwa kitu hapo .. so swala la kuuvunja huo msikiti si swala ambalo kwa waislam yaani sio tu haliwezekan hata kulifikiria ni haram

Arab World and Others
Jamii ya kiarabu na wengineo wachache wako nyuma ya palestina sababu kiasili palestine wanamizizi ya o hapo toka enzi na enz.. so kwa Waraab na wengineo wanaamini sio haki kwa Israel kuatak kujimilikisha hilo Eneo.

JEWS SUPPORT

Some christians denominations

kuna baadhi ya madhehebu ya kikristo wanasuport Israel, sababu wanaendesha iman zao kitofaut kidogo na majority ya christianity denomination. wao wanafanana kiasi na jews.. ingawa wanaamini katika Kristo Yesu na Jews hawaamini. ila supoprt yao iko imeegemea kwenye maeneo sababu wanaamini ni Holy place kwa wakristo na sio Dini zingine. kwa madhehebu kama wakatoliki, Walutheri na Walokole.. Eneo hilo ni Eneo Takatifu kiimani ila hawana itikadi kuwa haipaswi dini ingine kuishi hapo ndo maana unaona kama wako 50/50 yaani hawalichukuliii kwa imani kali kama waislam wanavyochukulia

Political Pychology
Hapa Israel support yake inatokana na faida za kisiana na kiuchumi hawa wanaomsapoti wanaitaka ( Ulaya na Marekani) its all about Dominance, ni katika kuhakikia wanakuwa na grip kwenye Arab world by any mans neccessary.

na kwasababu wanatofautiana kimitazamo na Arab world basi wanahakikisha kuwa soem hao kuko destablized ili waendelee kuwa na laverage

HITIMISHO
kwa mtazamo wa kijographia na Uasili Arabs wako biased sababu hata Israel wana mizizi hapo enzi na enzi infact toka karne za nane huko hilo Eneno lilikuwa linakaliwa na mataifa 2, Hebrew tribes, philistines baadae makabila ya Kiebrania yakagombana zikagawanyika na kuzaliwa tawala za Moab, Amon, israel, judah na mengine ( mind you sio Palestines maana hakukuwa na Nchi au Eneo linaloitwa palestine).

Na eneo hili ( Lavent, maana yake The East ndo jina la Eneo hilo au kama tunavyoita sasa eastern Mediterranean shores ila jina halisi ni CAANAN na waliokuwa wanakaa hapo kabla walikuwa wanaitwa Caananites) limekuwa likipitia kwenye umiliki wa falme mbali mbali wakibadilishana umiliki katika nyakayti tofauti.. kuanzia mapharaoi wa misri, wakaja kina mfalme nebu na babylon, wakaja kina Saladin na kina ASyria. wakaja kina Alexanders na Romans . na ofcourse kama mnavyojua kila zama inaacha vimelea..

So Hata hao wapalestina kiasili ni mchanganyiko wa Philistines ( watu kutoka Greece, na masalia ya wa caanan na hao wafilisti waliletwa huko baada ya kushindwa vita na wamisri na kukimbiolia caanan ku sattle ) ingawa baada ya Roma kuja kuangusha tawala za Philistines na baadaye na yeye kuangushwa na Ottoman kuja kuchukua basi jamii ya kizaz cha sasa cha Palestines kina asilimia kuwa ya Arab DNA sababu Ottoman alitawala kwa kipindi kirefu na eneo kubwa zaidi.. ila toka Enzi na Enzi hata kipindi cha Ottoman Jews walikuwepo..

So baada ya utawala wa Ottoma kuanguka na Ulaya kuja kushika hatam, kina uingereza France na wenzao ndo walishape na kutengeneza mipaka inayotumiak leo.. na ndio waliotoa uhuru kwa nchi za kiarabu... lakini ndio walileta Agendana kuisimmaia kwa nguvu kwa Israel kupewa Nchi yao

pendekezo la kwanza lilikuwa eneo ligawanywe kwa nchi tatu Palestine, Jordan na Jews, baada ya Jews kupewa sehem ya Uganda kukataliwa. na the iron on this is.. vikao vya majadiliano haya vilifanyika kati ya Ulaya na Arab leage yaani nchi za kiarabu ikiwemo iran, saudia na wengineo na wakakkubali kwa shart kuwa wao wapewe uhuru wa kujitawala. yaan waarabu wenzao wagawanywe ila wao wapate uhuru kamili.. na ikawa hivyo wakapewa uhuru na palestine ikagawanywa.. ingawa israel akwa anajiaribu kuiba Ardhi taratibu kila kukicha ..

cha ajabu wakat Israel anapewa utaifa walikuwa hawazi hata laki moja na wakawa wanaleta vurugu na kupora ardhi nashindwa kujua kwa nini palestine walikuwa wanawaangalia tu na wanakubali kuonewa... yaani hawakujiundia hata Jeeshi kujilinda..

Anyway kama nilivyosema suliuhisho ni mapak wakubwa wakikubali.. maana kama imewezekana sudani kugawanywa kwa nini ishindikane na kuendelea kuachwa taifa moja likibinywa... maana yake kuna watu wanafaidikia na huu mgogoro, the sad thing ni kuwa palestine wanashidnw akujua hilo hata watu wa asili yao Waarab wenzao nao ni sehem ya tatizo.. ikiwa walifanya mkutano kuwagawa toka mwanzo .. Waarab wangekuwa na nia ya kuikomboa palestien au kuleta Amani wangeweka shinikizo ikaweka miapaka na wao wakasaidia kulinda hiyo mipaka .. ila Israel anajiamulia anavyotaka
 
Roman Empire, VATCAN, Roman Catholic.

Ndio Amevuruga mashariki ya kati Yooooote.......

ROMAN ALIPO NICHOSHA KABISA NI KUANZISHA DINI YA KIISLAMU.


 
Habari wana JF.

Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua.

Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu bila kujua jibu sahihi ni lipi.

Ukiachana na mgogoro wa ardhi ulioko sasa kati ya wayahudi na wapalestina, kuna hili la HEKALU nalo ni kaa la moto.

Wayahudi wanaliita HEKALU,

WAKRISTO wanaliita KANISA na

Waislam wanaita MSIKITI

Yaani ki-ufupi wote watatu wanamaanisha kitu kile kile ambacho pia kinaonekana kuleta utata.

Sasa DINI ya KIYAHUDI na UKRISTO nitaiunganisha nitakapokuwa naelezea hili (maana tofauti ya dini hii huwa ni ndogo sana) lakini kwa UISLAM nitaielezea kitofauti kabisa.

KWA WAKRISTO : MCHUNGAJI MOSES MAGHEMBE anasema kwamba : HEKALU alilojenga suleiman liliharibiwa kwa mara ya kwanza na mfalme NEBUKADREZA kutoka Babeli mwaka 586 BC, kabla ya kuzaliwa YESU.

Alafu likaja kujengwa mara ya pili na DAUD nafikiri, lakini likaja likaharibiwa tena mara ya pili na Jenaral TITUS wa roman empire mwaka 70 AD baada ya kuzaliwa YESU.

Lakini mchungaji MAGHEMBE anaendelea kusema kwamba biblia imetabiri unabii wa kujengwa kwa HEKALU mara ya tatu kabla ya YESU kurudi tena.

Anaendelea kusema kuwa tayari mipango ya ujenzi imushawekwa tangu mwaka 1989 ambapo kuna kampuni ya kiyahudi imejipanga kwa ajili ya hilo, na anaesimamia mipango ya ujenzi wa HEKALU alimataja kwa jina sema nimemsahau kidogo ila ni kama RABI FRAIMAN nadhani nnavokumbukia.

Na anaendelea kusema kwamba tayari vitu vyote vilivyokuwa ndani ya HEKALU wayahudi washavitengezaga imebaki tu kusimamisha jengo.

Lakini kamalizia kwa kusema kinacho chelewesha ujenzi wa HEKALU hilo hadi sasa ni "kuna jengo la dini nyingine limejengwa pale lilipokuwa HEKALU la SULEIMAN" πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hapana nadhani alimaanisha MSIKITI WA wa AL-AQSA sema aliogopa kutaja wazi.

Na kasema wayahudi hawawezi kujenga jengo HEKALU sehemu nyingine tofauti na pale lilipo hilo jengo la DINI nyingine (Bila shaka ni MASJID AL AQSA ana maanisha).

TUJE KWENYE UISLAMU sasa : Kwa mujibu wa SHEKH AL-HAJI SULLE yeye hatumii neno HEKALU bali anatumia neno MSIKITI.

SHEKH SULLE anasema kwamba MSIKITI ulijengwa na nabii Suleiman na ukaja kuharibiwa na NEBUKADREZA mwaka 586 BC.

Anaendelea kusema kwamba Msikiti huo baada ya kuharibiwa na NEBUKADREZA ulikuja kujengwa tena mara ya pili lakini ukaja ukaharibiwa tena jenaral TITUS wa RUMI Mwaka 70 AD.

Nilicho furahi hapa ni kwamba MAELEZO ya SHEKH SULLE yameenda sambamba kabisa na ya mchungaji MAGHEMBE bila kutofautiana hata kidogo ila tu tofauti ipo kwenye huyu anatumia neno HEKALU na mwingine anatumia neno MSIKITI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Lakini nikaona tofauti za majina siyo isssue kubwa kwa sababu zote ni nyumba za IBADA πŸ˜‚

SASA KUBWA KULIKO NI HII HAPA : Mchungaji maghembe anasema HEKALU la tatu bado halijajengwa ila mipango ya kulijenga imeshakamilika shida ni moja tu, mahali lilipokuwa hekalu pana jengo la dini nyingine πŸ˜… (masjid Al Aqsa) na wayahudi hawawezi kujenga hekalu tofauti na hapo.

Lakini SHEKH SULLE anasema MSIKITI wa Tatu ushajengwa tayari na ndiyo huo unauona sasahivi MASJID AL AQSA ambao uko Jerusalem.

Anasema msikiti huo ulijengwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA kutoka MADINA, SAUD ARABA mwaka 689-691 aliyeitwa ABD AL-MALICK 😁😁😁

Sasa hapa nishachanganyikiwa nashindwa kutambua ukweli uko wapo 😁😁😁

Kwa Wayahudi na Wakristo HEKALU/KANISA kwa mara tatu bado halijajengwa ila ndiyo lipo kwenye maandalizi ya ujenzi, na kinachokwamisha ujenzi huo hadi sasa ni uwepo wa jengi la dini nyingine, yaani msikiti wa AL-AQSA.

Lakini kwa waislam MSIKITI huo alio haribiwa na RUMI chini ya jenerali TITUS tayari umeshajengangwa kwa mara ya tatu na KHALIPHA ABD AL-MALICK kutoka MADINA tangu mwaka 689-691 AD.

Sasa kina nani wapo sahihi ? Huu mgogoro ni mgumu sana kwa kweli.

Je, wayahudi watakuwa tayari kuubomoa msikiti wa AL-AQSA ili wajenge hekalu lao ? yatakuwa maamuzi magumu na ni hatari yanayoweza kusababisha umwagaji damu mbaya sana, maana ni mgongano wa imani tofauti.

Lakini Je, Waislam watakubali msikiti wao ubomolewe na wayahudi ili wao wajenge HEKALU lao ?

SHEKH SULE anasema waislam wote duniani wapo tayari kuulinda huo msikiti kwa gharama yeyote ile.

Hapo ndipo kitendawili kilipo .
Wewe nenda kitalii watu wapate fedha.
Ukweli ni kwamba hivyo ni vivutio vya utalii km ilivyo pale inakosemekana kuwepo fuvu la binadamu kwanza Ngorongoro. Hayo mengine ni polojo tu.
 
Suala la Mashariki ya kati limenijenga Imani yangu mala Mbili.

Nimekoma sana kiroho na imaniyangu IMEKUWA kamili machoni Mwa Bwana.

LIMENIFANYA NIMUAMINI MUNGU KWA UTIMILIVU WOTE.

Vijana JifunzeniMambo ya mashariki ya kati mtafika hatuna mtaanza kumuona Mungu.

Na nyinyi WA makobazi njooni kwa Yesu.
 
Tuanzie hapo kwa shekh Sule tumpeleke palestina akalinde msikiti kwa niaba ya wslm wa Tz

Akikubaliiii niite Maxzegel
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shekh SULLE anasema waislam hawana shida na ardhi ya PALESTINA maana waliiuza wenyewe kwa wayahudi.

Ila anasema wanachopigania waislam ni msikiti wa AL-AQSA maana hiyo ni mali ya waislamu siyo mali ya wayahudi
 
Haya, sisi wengine tubaki kama wasindikizaji tu au watazamaji..
Sema kitu mkuu
Dini ya kiislam ni dini iliyojengwa kwenye propaganda nyingi sana za kuchanganya ukweli kidogo na uongo mwingi, ujenzi na ubomolewaji wa hilo hekaru ulitabiliwa na kuandikwa wenye vitabu vya torati na kila kitu kilienda kama ilivyotabiliwa.

Sasa ili kuweza kuaminisha umma wa kiislam kama dini yao imetokana na ibrahim,ilibidi kuanza kutunga historia za uongo kutoka katika torati na zaburi,hii pia ikaenda sambamba na kuvamia na kupora maeneo na miji ya wayahudi na kujimilikisha ikiwepo kujenga kwa huo msikini wa al qwasa mjini Jerusalem.

Ukiacha propaganda za kiislamu,bado hiatoria na ukweli uko wazi juu ya umiliki halali wa hilo hekalu na ardhi ya israel kwa Wayahudi.

In fact kuna andiko nililikuta mahali linasema kwamba, hilo hekalu ambalo leo hii ndiyo MASJID AL-AQSA, ni OTTO MAN EMPIRE kipindi cha utawala wao ndiyo ambao walilibadilisha likawa na mwonekano wa MSIKITI kutoka mwonekano wa HEKALU ambao ulikuwepo awali.
 
Huwa mkuu nasahihisha sana humu ndani Dome of rock kama inavyoonekana kwenye picha sio Masjid al Aqsa bali ni jengo tu ndani ya Eneo linaloqualify kama AL Aqsa.
View attachment 2788246
Hilo ni jengo kama majengo mengine.

Kwa sisi waisilamu Masjid Al Aqsa ni eneo na sio Jengo, Waisilamu Palestina waki swali Al Aqsa wanaswali Open space

Hii picha inaonesha umati wa watu kama 250,000 wanaswali huku wakiipa Mgongo Dome of rock.

View attachment 2788247
Hii Ni ramani inaonesha Al Aqsa

View attachment 2788248
Huo mstari wa orange eneo lolote ni Masjid Al Aqsa.

Pia hilo eneo kwa miaka zaidi ya 1000 dini zote 3 zipo hapo, Palestina ya kabla ya 1948 ilikua na wayahudi na wakristo na wote wanaabudu kwa Kuheshimiana.

Waisrael wa sasa hawaongozwi na Dini ni Zionist wanatumia tu Uyahudi kama kisingizio. Myahudi hali nguruwe, myahudi hali kibudu, myahudi hakubali Ushoga etc lakini Israel ya sasa inafanya yote hayo. Orthodox jews ambao wanafuata Torah wengi hawakubaliani na taifa la sasa la Israel. Hivyo usishangae waki chukua hilo eneo wakalifanya Mc Donald ama KFC ama hata wakaweka Danguro la Mashoga.


Mfano wa Anti Zionist jew

View: https://m.youtube.com/watch?v=gVuHgaTdysY

Nenda youtube search Anti Zionist jews upate faida ya upande mwengine wa Jews ambao unawapenda waisilamu na wakristo wa Palestina na wao wanavaa vitambaa vyeupe na nyeusi kama wapalestina wengine.


Of course majudaism wanasema wanaoendesha vita sasahivi ni ma-zionists na siyo judaists.

Ngoja nikitulia kuna maswali nitakuuliza mkuu
 
Roman Empire, VATCAN, Roman Catholic.

Ndio Amevuruga mashariki ya kati Yooooote.......

ROMAN ALIPO NICHOSHA KABISA NI KUANZISHA DINI YA KIISLAMU.


Hahaha..
Kwamba "dini ya haki" muasisi na mmiliki wake ni Katoliki?!
 
Suluhu ya huo mgogoro inapaswa itoke kwenye kufungamana na Iman yoyote kati ya hizo.. ukiniuliza mie nitakupa jibu rahs ingawa najua haliwezekana sababu ya wahafidhina wa pande zote mbili ( Wayahudi na Waislam)..

kwanza ujue mgogoro huo ni mgumu sababu shida sio tu hilo eneo shida imekwenda mbali zaid.. kuna mambo mawili

Imani na Aili ya watu kijografia

PALESTINES SUPPORT

Islam world
kinachowaleta Waislam wotekuwa nyuma ya Palestine ni swala la kiimaani .. maana kwa iman yao hiyo sehem ni takatifu kwao haipaswi kukaliwa na watu wa iman tofauti achilia mbali kujengwa kitu hapo .. so swala la kuuvunja huo msikiti si swala ambalo kwa waislam yaani sio tu haliwezekan hata kulifikiria ni haram

Arab World and Others
Jamii ya kiarabu na wengineo wachache wako nyuma ya palestina sababu kiasili palestine wanamizizi ya o hapo toka enzi na enz.. so kwa Waraab na wengineo wanaamini sio haki kwa Israel kuatak kujimilikisha hilo Eneo.

JEWS SUPPORT

Some christians denominations

kuna baadhi ya madhehebu ya kikristo wanasuport Israel, sababu wanaendesha iman zao kitofaut kidogo na majority ya christianity denomination. wao wanafanana kiasi na jews.. ingawa wanaamini katika Kristo Yesu na Jews hawaamini. ila supoprt yao iko imeegemea kwenye maeneo sababu wanaamini ni Holy place kwa wakristo na sio Dini zingine. kwa madhehebu kama wakatoliki, Walutheri na Walokole.. Eneo hilo ni Eneo Takatifu kiimani ila hawana itikadi kuwa haipaswi dini ingine kuishi hapo ndo maana unaona kama wako 50/50 yaani hawalichukuliii kwa imani kali kama waislam wanavyochukulia

Political Pychology
Hapa Israel support yake inatokana na faida za kisiana na kiuchumi hawa wanaomsapoti wanaitaka ( Ulaya na Marekani) its all about Dominance, ni katika kuhakikia wanakuwa na grip kwenye Arab world by any mans neccessary.

na kwasababu wanatofautiana kimitazamo na Arab world basi wanahakikisha kuwa soem hao kuko destablized ili waendelee kuwa na laverage

HITIMISHO
kwa mtazamo wa kijographia na Uasili Arabs wako biased sababu hata Israel wana mizizi hapo enzi na enzi infact toka karne za nane huko hilo Eneno lilikuwa linakaliwa na mataifa 2, Hebrew tribes, philistines baadae makabila ya Kiebrania yakagombana zikagawanyika na kuzaliwa tawala za Moab, Amon, israel, judah na mengine ( mind you sio Palestines maana hakukuwa na Nchi au Eneo linaloitwa palestine).

Na eneo hili ( Lavent, maana yake The East ndo jina la Eneo hilo au kama tunavyoita sasa eastern Mediterranean shores ila jina halisi ni CAANAN na waliokuwa wanakaa hapo kabla walikuwa wanaitwa Caananites) limekuwa likipitia kwenye umiliki wa falme mbali mbali wakibadilishana umiliki katika nyakayti tofauti.. kuanzia mapharaoi wa misri, wakaja kina mfalme nebu na babylon, wakaja kina Saladin na kina ASyria. wakaja kina Alexanders na Romans . na ofcourse kama mnavyojua kila zama inaacha vimelea..

So Hata hao wapalestina kiasili ni mchanganyiko wa Philistines ( watu kutoka Greece, na masalia ya wa caanan na hao wafilisti waliletwa huko baada ya kushindwa vita na wamisri na kukimbiolia caanan ku sattle ) ingawa baada ya Roma kuja kuangusha tawala za Philistines na baadaye na yeye kuangushwa na Ottoman kuja kuchukua basi jamii ya kizaz cha sasa cha Palestines kina asilimia kuwa ya Arab DNA sababu Ottoman alitawala kwa kipindi kirefu na eneo kubwa zaidi.. ila toka Enzi na Enzi hata kipindi cha Ottoman Jews walikuwepo..

So baada ya utawala wa Ottoma kuanguka na Ulaya kuja kushika hatam, kina uingereza France na wenzao ndo walishape na kutengeneza mipaka inayotumiak leo.. na ndio waliotoa uhuru kwa nchi za kiarabu... lakini ndio walileta Agendana kuisimmaia kwa nguvu kwa Israel kupewa Nchi yao

pendekezo la kwanza lilikuwa eneo ligawanywe kwa nchi tatu Palestine, Jordan na Jews, baada ya Jews kupewa sehem ya Uganda kukataliwa. na the iron on this is.. vikao vya majadiliano haya vilifanyika kati ya Ulaya na Arab leage yaani nchi za kiarabu ikiwemo iran, saudia na wengineo na wakakkubali kwa shart kuwa wao wapewe uhuru wa kujitawala. yaan waarabu wenzao wagawanywe ila wao wapate uhuru kamili.. na ikawa hivyo wakapewa uhuru na palestine ikagawanywa.. ingawa israel akwa anajiaribu kuiba Ardhi taratibu kila kukicha ..

cha ajabu wakat Israel anapewa utaifa walikuwa hawazi hata laki moja na wakawa wanaleta vurugu na kupora ardhi nashindwa kujua kwa nini palestine walikuwa wanawaangalia tu na wanakubali kuonewa... yaani hawakujiundia hata Jeeshi kujilinda..

Anyway kama nilivyosema suliuhisho ni mapak wakubwa wakikubali.. maana kama imewezekana sudani kugawanywa kwa nini ishindikane na kuendelea kuachwa taifa moja likibinywa... maana yake kuna watu wanafaidikia na huu mgogoro, the sad thing ni kuwa palestine wanashidnw akujua hilo hata watu wa asili yao Waarab wenzao nao ni sehem ya tatizo.. ikiwa walifanya mkutano kuwagawa toka mwanzo .. Waarab wangekuwa na nia ya kuikomboa palestien au kuleta Amani wangeweka shinikizo ikaweka miapaka na wao wakasaidia kulinda hiyo mipaka .. ila Israel anajiamulia anavyotaka
Nimekuelewa mno wewe, una kitu na unapaswa usikilizwe.

Na cha kuongeza hapo ni kwamba OTTO MAN empire ndiyo waliofuta jina CANAAN na kupaita hapo PALESTINE wakati wa utawala wao.

Lakini pia nilicho ng'amua ni kwamba "wayahudi asilia wanataka amani na siyo vita".

Na wayahudi halisi ni hawa wafuasi wa JUDAISM, wako na madevu yao hawatakagi hata kunyoa.

Na hawa majudaism bahati mbaya hawana mamlaka za kiutawala wala siyo watu wa kujihusisha na siasa, wao wako bize na u-judaism wao.

Watu wanaoleta shida na ndiyo wenye mamlaka ni hawa wanaojiita MA-ZIONIST ambao wanaendeshwa na falsafa ya ZIONISM.

Wafuasi wa zionism na judaism wote ni wayahudi, ila judaism wanasema ma-zionists wamepoteza uhalisia wao wa kuwa wayahudi na badala yake wamekuwa ma-natiinalists, waenda fujo na vita na wala hawaamini Mungu ila wanajificha kwa kutumia mgongo wa judaism.

Judaism wanapenda kukaa na wapalestina kwa pamoja kwa amani na wala hawataki kuona wapalestina wakinyang'anywa ardhi yao.

Kuna Rabbi mmoja ambaye ni jewish scholar nilikuwa namsikikiza anasema "Zionism wa created by mostly non-religion jews, while judaism follow the to TORAH to worship God".

Na mwingine anasema kwamba kabla ya ma-zionists kuja middle east mwaka 1948, ma-judaism walikuwa wanaishi kwa amani kabisa na wapalestina bila shida yeyote kwenye miji yote hadi Tel-aviv.

Shida ilianza baada ya ma-zionists kuja ndiyo amani imetoweka mpaka leo.
 
Nimekuelewa mno wewe, una kitu na unapaswa usikilizwe.

Na cha kuongeza hapo ni kwamba OTTO MAN empire ndiyo waliofuta jina CANAAN na kupaita hapo PALESTINE wakati wa utawala wao.

Lakini pia nilicho ng'amua ni kwamba "wayahudi asilia wanataka amani na siyo vita".

Na wayahudi halisi ni hawa wafuasi wa JUDAISM, wako na madevu yao hawatakagi hata kunyoa.

Na hawa majudaism bahati mbaya hawana mamlaka za kiutawala wala siyo watu wa kujihusisha na siasa, wao wako bize na u-judaism wao.

Watu wanaoleta shida na ndiyo wenye mamlaka ni hawa wanaojiita MA-ZIONIST ambao wanaendeshwa na falsafa ya ZIONISM.

Wafuasi wa zionism na judaism wote ni wayahudi, ila judaism wanasema ma-zionists wamepoteza uhalisia wao wa kuwa wayahudi na badala yake wamekuwa ma-natiinalists, waenda fujo na vita na wala hawaamini Mungu ila wanajificha kwa kutumia mgongo wa judaism.

Judaism wanapenda kukaa na wapalestina kwa pamoja kwa amani na wala hawataki kuona wapalestina wakinyang'anywa ardhi yao.

Kuna Rabbi mmoja ambaye ni jewish scholar nilikuwa namsikikiza anasema "Zionism wa created by mostly non-religion jews, while judaism follow the to TORAH to worship God".

Na mwingine anasema kwamba kabla ya ma-zionists kuja middle east mwaka 1948, ma-judaism walikuwa wanaishi kwa amani kabisa na wapalestina bila shida yeyote kwenye miji yote hadi Tel-aviv.

Shida ilianza baada ya ma-zionists kuja ndiyo amani imetoweka mpaka leo.


Umeandika vizuri Mkuu.

Lakini pale hapawezi kutuliia Hadi ajapo mwana wa Adamu.

Hivyo ndivyo Bible inavyosema.
BIBLIA imeandika yote kuhusu MSIKITI na Jengo Kubomolewa na Kujengwa upya.
 
Umeandika vizuri Mkuu.

Lakini pale hapawesi kutuliia Hadi ajapo mwana WA Adamu.

Hivyo ndivyo Bible inavyosema.
BIBLIA imeandika yote kuhusu MSIKITI na Jengo Kubomolewa na Kujengwa.

Lakini mkuu naonaga pia wakristo wanasema kuna maandiko yanasema katika biblia kuwa kuna siku lazima Israel itapigwa na kutekezwa kabisa.

Yaani wanasema ili kiama kije (mwana wa adamu arudi) ni lazima israel ipigwe kwanza.

Huwa wanatumia maneno ya Yesu aliposema kwamba "pale mtakapoona Yerusalem imezungukwa na majeshi basi jueni mwisho wake umekaribia".

Sasa najiuliza ili Israel ipigwe wa kumpiga atakuwa nani, maana wote wanaompa back up wana nguvu kubwa
 
Back
Top Bottom