Bamukunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2011
- 394
- 260
Umenena: Mkapa akasema amefanya kazi na Mwalimu, amemzika, hajawahi kusikia Mwalimu Nyerere ana mtoto wake mwenye jina kama hilo.
Inaonyesha Mkapa alimaanisha si BLOOD SON wa Kambarage ambavyo natumaini ni kweli ingawa Vincent ni mwana ukoo wa Nyerere.
Inaonyesha Mkapa alimaanisha si BLOOD SON wa Kambarage ambavyo natumaini ni kweli ingawa Vincent ni mwana ukoo wa Nyerere.