Baada ya Nape kuwagusa mafisadi, sasa Nape anashambuliwa kama mpira wa kona, kutoka kila pande. Kwenye magazeti hadi mitandaoni. Ni kweli mafisadi hawagusiki, gusa uone.
Sera za Magamba zimebackfire!
Baada ya Nape kuwagusa mafisadi, sasa Nape anashambuliwa kama mpira wa kona, kutoka kila pande. Kwenye magazeti hadi mitandaoni. Ni kweli mafisadi hawagusiki, gusa uone.
Tatizo la Nape hapangi mashambulizi kwa uweledi! anashambulia pande zote mbili ( wapinzani ndani ya chama cha magamba na wapinzani wake nchi ya ccm) wakati hajajipanga kimkakati. Na hili nitamsumbua sana kama hatabadilika, WEWE UNA RUNGU UNAENDA KUMSHAMBULIA MTU MWENYE AK47? Apange mikakati yake vizuri na aache kuropoka ropoka hovyo, hiyo nafasi aliyopewa isimchanganye akili, atulie awatumie hata wazee wenye busara kumshauri kabla ya kuropoka. KUROPOKA KUMEMWANGUSHA CHALI MAKAMBA OOH!
Wana nguvu ya ajabu! Hata wewe mzee wa gamba unaona nguvu zao na thread juu!
Ha ha haaa wewe hujioni.Wewe huoni mlivyotekwa nao hata hapa jf, mnashambulia Nape badala ya RA na kundi lake.
unakumbuka kauli ya waziri mkuu bungeni kuhusu mafisadi wakati wa majibu ha hapo kwa hapo?
Wapinzani walianza kuushambulia unafiki wake wa siku 90 unavyoona wewe toka achaguliwe kafanya kitu gani kama si uvuvuzela tu mwisho wake tumejua kumbe yeye ni katibu mwenezi wa CCJ na si CCM tena.Nafikiri, Nape alikuwa anashambulia aliowaita magamba, sasa gafura nyuma wapinzani nao wakaanza kumshambulia, lazima apige kote kote kujikwamua. Swali ni kwanini wapinzani walianza kumshambulia na kumbeza?
Well said mkuu kudili na hao jamaa inabidi uwe umejipanga haswa hata Chadema huwa hawaendi kichwa kichwa kwa hao jamaa sasa katibu mwenezi wa CCJ alipopewa rungu akafikiri linaua kila kitu.Nitazidi kum-blame Nape kwa mwendo alioanza nao, he had no positive tactics za kudili na hao watu. They are capable, intelligent, wealthy, well organised, powerfull, very strong-political wise, decissive & visionery.
Although Nape is young and energetic...muda wake bado wa kuwayumbisha au kuwanyooshea vidole hao wababe, wanamihimili almost ktk kila tasisi ya dola ya nchini mwetu.
Nafikiri, Nape alikuwa anashambulia aliowaita magamba, sasa gafura nyuma wapinzani nao wakaanza kumshambulia, lazima apige kote kote kujikwamua. Swali ni kwanini wapinzani walianza kumshambulia na kumbeza?
Nitazidi kum-blame Nape kwa mwendo alioanza nao, he had no positive tactics za kudili na hao watu. They are capable, intelligent, wealthy, well organised, powerfull, very strong-political wise, decissive & visionery.
Although Nape is young and energetic...muda wake bado wa kuwayumbisha au kuwanyooshea vidole hao wababe, wanamihimili almost ktk kila tasisi ya dola ya nchini mwetu.
Hawana nguvu zozote ila kuna tatizo au udhaifu katika kutekeleza maazimio ndani ya chama tawala na ndani ya serikali, na hapo ndipo matatizo ya nchi yetu yalipo, kwamba maazimio na mipango huwa ni mizuri sana, utekelezaji zero.