Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
I think the guys underestimate maana ya serikaliSerekali ya arusha waliitangaza kuwa ifikapo tarehe 7.5.2012 wamachinga wote wanapaswa kuondoka kwenye maeneo ya mjini....lema naye akatoa tamko kwenye kampeni ya vua gamba vaa gwanda..kwamba hakuna machinga yoyote kuondoka mjini.sivyo wawapeleke kwenye eneo waliloliuza huko kilombero...mpaka sasa jamaa wanapiga kazi kama kawaida,,big up lema
Mkapa alisema atarudisha ardh meru kama nani?Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Siasa bhana, CHADEMA
wakichukua nchi 2015 si wataruhusu machinga mpaka ikulu. Ubungo saivi
safi.
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
Na pia asisahau kuwaambia wasilipe kodi wala ushuru!
Nenda miji yote mikuu duniani kuna utaratibu maalumu wa kufanya biashara, huo ni ujinga na uwezo mdogo anaoonyesha
huyo aliyekuwa mbunge wa arusha
I think the guys underestimate maana ya serikali
asipoangalia ataishia jela na watu watamsahau
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Matayarisho ya kuwaondoa yalikuwa bado kukamilika, tarehe imesogezwa mbele wataondolewa tarehe 10 Mei, 2012
Siasa bhana, CHADEMA wakichukua nchi 2015 si wataruhusu machinga mpaka ikulu. Ubungo saivi safi.
Serikali hii inauaibisha utawala wa JK chini ya ccm, wanataka waondoke halafu watakula wapi? Wanataka wakaibe? Hawaoni watakuwa chanzo cha unyang' anyi na uwizi Arusha?
Wewe lazima ulisumbuliwa sana na utapiamlo wakat wa makuzi yako ndo uelewa wako haueleweki!!!!! Omba majibu kwa hao wamachinga....Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.