bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
this generalization is what makes me sick!!!Ah wapi wanaume huwa hawabariki namna hiyo wao wapo tayari kusaidia mpaka mwisho tena bila kuongea neno lolote lakini siku mwanamke akitoa yake bana, jirani wote watajua kama leo Blandina kanunua LUKU nyumbani kwao, mi sikuwahi kuona mwanamke akawa anaiendesha familia kwa hali na mali akitoa mchango mkubwa halafu asiongee neno, tena balaa linaweza kukukumba vibaya haswa mkitofautiana kidogo atablast kila kitu anafanya yeye wewe yako suruali tu hapo kaka. Lakiini hatuna budi kuwakubali kwani ndio mama zetu hawa.
Kobe ni wangapi hao walokufanya u-draw such a conclusion?? hivi aibu ya mume wangu sio aibu yangu kweli?? unless am not sincerely in love with him...........................