kwanini wasichana wako hivi?

Ah wapi wanaume huwa hawabariki namna hiyo wao wapo tayari kusaidia mpaka mwisho tena bila kuongea neno lolote lakini siku mwanamke akitoa yake bana, jirani wote watajua kama leo Blandina kanunua LUKU nyumbani kwao, mi sikuwahi kuona mwanamke akawa anaiendesha familia kwa hali na mali akitoa mchango mkubwa halafu asiongee neno, tena balaa linaweza kukukumba vibaya haswa mkitofautiana kidogo atablast kila kitu anafanya yeye wewe yako suruali tu hapo kaka. Lakiini hatuna budi kuwakubali kwani ndio mama zetu hawa.
this generalization is what makes me sick!!!
Kobe ni wangapi hao walokufanya u-draw such a conclusion?? hivi aibu ya mume wangu sio aibu yangu kweli?? unless am not sincerely in love with him...........................
 
utakuta wakati mahitaji yake yote anayatoa kwako,anakua mpole mkarim na pia mwenye busara.lakini akishapata chanzo chochote cha kumpatia fedha anabadirika.au hiyo ni dalili kua hakua anakupenda? lakini mbona asilimia kubwa about 98%, yani almost wote wako hivyo.naomba mnisaidie wana JF kwenye hili,kwamba ukweli uko wapi?

Unajua sumtime wanaume tunalalamika mi huwa nashangaa kwa sababu hapo ni wazi kabisa huyo mtu alikuwa kwako kwa ajili ya kitu fedha uliyonayo...Sredi zingine bwana kweli unahitaji kujadili hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni mtizamo tu wajameni.
Mtu akiwa hana kitu hata confidence humwishia.Huwa kama mtumwa. Akijiweza, confidence huongezeka, huwa na uthubutu wa kuchangia mazungumzo, huweza kuelezea msimamo wake hata kama uko tofauti na wako.Hilo kwa vyovyote litakushtua utaanza kuona ana kiburi kumbe ni mabadiliko tu ya kawaida ya mwanadamu.Ushasikia mbinu za kumjengea mtu uwezo wa kujiamini? Unadhani step ya kwanza ni ipi? Ni uwezo wa kujimudu.
Fundisho: Kama unataka kumsaidia mtu na unataka abakie mtumwa milele basi usimsaidie maana kubakia mtumwa milele haitawezekana.

Nashukuru umejibu vyema sina haja ya kujazia tena...
 
this generalization is what makes me sick!!!
Kobe ni wangapi hao walokufanya u-draw such a conclusion?? hivi aibu ya mume wangu sio aibu yangu kweli?? unless am not sincerely in love with him...........................


Ubarikiwe Dada!................Shem na bahati kubwa hivi ni kweli yupo hapa JF?
 
Wanawake wa JF: Tafadhalini fanyeni utafiti usio rasmi kutafuta ni wanaume wangapi ambao wamewasomesha wanawake wanaotarajia kuwa wandani (wengine ni wake zao tayari) na wakatoswa na wangapi waliendelea na mipango (ndoa zao) yao kwa upendo na maelewano zaidi. Baada ya utafiti huo naamini mtakuwa na haki ya kusema hayo mnayosema.
 
Kwa kawaida hii ni hulka ya mtu binafsi, si vizuri kuhitimisha bila ya kufanya tafiti ya kina inayojali sampuli wakilishi. Inategemea huyo uliyenaye umeshibana naye vipi, na maanisha katika shida na raha, kama ulimpata anayesoma ramani tu na anakuchukulia kama faili la mda, lazima akutumie kama ngazi ya kutatulia matatizo yake bila kujali presha ya maisha yaweza panda ama kushuka.

Unapaswa kuwa na fikra tunduizi ( critical thinker) ili kuweza kun`gamua yupi ni yupi katika dhana nzima ya maisha endelevu ya pamoja.
Katika maisha ya sasa wote mnaweza kujenga daraja kwa ushirikiano bila kujali uwiano, ilimradi muweze kufikia lengo la kujenga hilo daraja, mvuke kisha mmeendelee na safari mpaka mfikie ile nchi mliyotarajia ya asali na maziwa.
 
nikweli kabisa maneno yako nakubaliana na ww my dear
Ni mtizamo tu wajameni.
Mtu akiwa hana kitu hata confidence humwishia.Huwa kama mtumwa. Akijiweza, confidence huongezeka, huwa na uthubutu wa kuchangia mazungumzo, huweza kuelezea msimamo wake hata kama uko tofauti na wako.Hilo kwa vyovyote litakushtua utaanza kuona ana kiburi kumbe ni mabadiliko tu ya kawaida ya mwanadamu.Ushasikia mbinu za kumjengea mtu uwezo wa kujiamini? Unadhani step ya kwanza ni ipi? Ni uwezo wa kujimudu.
Fundisho: Kama unataka kumsaidia mtu na unataka abakie mtumwa milele basi usimsaidie maana kubakia mtumwa milele haitawezekana.
 
Wanawake wa JF: Tafadhalini fanyeni utafiti usio rasmi kutafuta ni wanaume wangapi ambao wamewasomesha wanawake wanaotarajia kuwa wandani (wengine ni wake zao tayari) na wakatoswa na wangapi waliendelea na mipango (ndoa zao) yao kwa upendo na maelewano zaidi. Baada ya utafiti huo naamini mtakuwa na haki ya kusema hayo mnayosema.
Ndugu yangu... kaka.... usijisumbue kwenda kwenye utafiti usio na tija mwisho wa siku.
Mahusiano baina ya wanawake na wanaume ni complex/complicated phenomena/process.Huwezi kutabiri nini kitatokea kwa kufanya kitu fulani kwa ajili ya mwenzio.Ukisema au kufikiri unavyofikiri basi utashangaa kusikia pia wapo wanawake wengi sana wamewainua waume zao kutoka zero na walipoinuka wanaume hao waliwadharau na kuwaona si kitu.Mifano haipo mbali - ( MNISAMEHE KAMA NITAWAGUSA WATU HUMU KWA MIFANO NITAKAYOITOA MAANA SIYO YA KUTUNGA BALI NI HALISI NA MINGINE NIMEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUJARIBU KUPATA UFUMBUZI)
Nenda pale UDSM upate visa vya ma lecturer waliokuwa wameoa wauza baa na mama lishe kabla hawajawa "watu".Wanawake hawa waliwalisha, wakawavisha tena mitumba, wakawalaza kwenye chumba kimoja walichokuwa nacho - in short wanaume hao waliwategemea kwa kila kitu kama watoto_On top of that wakawazalia na wana! Shukrani baada ya kuhitimu wahadhiri wakajua pesa, wakasafiri kwenda ulaya kusaficha macho mwishowe wakaona wale wauza baa na mama lishe si mali kitu .
Huu ni mfano mdogo tu.
 
Ndugu yangu... kaka.... usijisumbue kwenda kwenye utafiti usio na tija mwisho wa siku.
Mahusiano baina ya wanawake na wanaume ni complex/complicated phenomena/process.Huwezi kutabiri nini kitatokea kwa kufanya kitu fulani kwa ajili ya mwenzio.Ukisema au kufikiri unavyofikiri basi utashangaa kusikia pia wapo wanawake wengi sana wamewainua waume zao kutoka zero na walipoinuka wanaume hao waliwadharau na kuwaona si kitu.Mifano haipo mbali - ( MNISAMEHE KAMA NITAWAGUSA WATU HUMU KWA MIFANO NITAKAYOITOA MAANA SIYO YA KUTUNGA BALI NI HALISI NA MINGINE NIMEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUJARIBU KUPATA UFUMBUZI)
Nenda pale UDSM upate visa vya ma lecturer waliokuwa wameoa wauza baa na mama lishe kabla hawajawa "watu".Wanawake hawa waliwalisha, wakawavisha tena mitumba, wakawalaza kwenye chumba kimoja walichokuwa nacho - in short wanaume hao waliwategemea kwa kila kitu kama watoto_On top of that wakawazalia na wana! Shukrani baada ya kuhitimu wahadhiri wakajua pesa, wakasafiri kwenda ulaya kusaficha macho mwishowe wakaona wale wauza baa na mama lishe si mali kitu .
Huu ni mfano mdogo tu.

ni kweli kabisa nami nimeona mifano mingi ya malecturer design hii, tukiamua kufanya utafiti twaweza kuta hata hawa wapiga debe wengi wazazi wao ni maprofessor!
 
Ndugu yangu... kaka.... usijisumbue kwenda kwenye utafiti usio na tija mwisho wa siku.
Mahusiano baina ya wanawake na wanaume ni complex/complicated phenomena/process.Huwezi kutabiri nini kitatokea kwa kufanya kitu fulani kwa ajili ya mwenzio.Ukisema au kufikiri unavyofikiri basi utashangaa kusikia pia wapo wanawake wengi sana wamewainua waume zao kutoka zero na walipoinuka wanaume hao waliwadharau na kuwaona si kitu.Mifano haipo mbali - ( MNISAMEHE KAMA NITAWAGUSA WATU HUMU KWA MIFANO NITAKAYOITOA MAANA SIYO YA KUTUNGA BALI NI HALISI NA MINGINE NIMEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUJARIBU KUPATA UFUMBUZI)
Nenda pale UDSM upate visa vya ma lecturer waliokuwa wameoa wauza baa na mama lishe kabla hawajawa "watu".Wanawake hawa waliwalisha, wakawavisha tena mitumba, wakawalaza kwenye chumba kimoja walichokuwa nacho - in short wanaume hao waliwategemea kwa kila kitu kama watoto_On top of that wakawazalia na wana! Shukrani baada ya kuhitimu wahadhiri wakajua pesa, wakasafiri kwenda ulaya kusaficha macho mwishowe wakaona wale wauza baa na mama lishe si mali kitu .
Huu ni mfano mdogo tu.
WOS umesababisha hadi machozi yamenitoka, umesema kweli kweli kweli kweli kabisa, sio UDSM tu hata mawaziri na wabunge, maCEOs wa makampuni mbalimbali.

Duh! Dunia hii, Nway

Thanks WOS
 
sasa hapa naona tutaelewana kuwa swali si kwa nini wasichana wako hivi??? maana hata baadhi ya wanaume nao wako hivo.
lawama isiende kwa watu wa jinsia moja tu.
tabia hii ni ya individuals bila kujali jinsia zao!!!
 
WOS umesababisha hadi machozi yamenitoka, umesema kweli kweli kweli kweli kabisa, sio UDSM tu hata mawaziri na wabunge, maCEOs wa makampuni mbalimbali.

Duh! Dunia hii, Nway

Thanks WOS

Yule aliyekuwa Waziri wa sheria aliyekumbwa na kashfa; anayo nyumba ya aina hii kule Kiwalani Minazi mirefu! Kwa aibu wakati akiwa waziri akamjengea huyu Mama nyumba alizaa nye watoto 2 enzi hizo; wote ni mateja wa kutupwa sasa kwa kukosa malezi muhimu ya baba when they became tenagers kwani mama haku manage kulea na kuwatafutia riziki!
 
Back
Top Bottom