Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu washabiki wa Ccm kuizungumzia sana Richmond lkn hawaizungumzii Escro.
Ikumbukwe kuwa Escro iliisababishia hasara Serikali tshs 300 bilion. Lakini cha ajabu hawaizungumzii kabisa.
Sasa mimi najiuliza ni kwa nini Richmond na sio Escro?.
Ikumbukwe kuwa Escro iliisababishia hasara Serikali tshs 300 bilion. Lakini cha ajabu hawaizungumzii kabisa.
Sasa mimi najiuliza ni kwa nini Richmond na sio Escro?.