Oxlade wilshare
Member
- Aug 13, 2012
- 7
- 0
Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
hivi, ukiwa unakuna sikio na cotton bug, raha uchezeshe chezeshe kichwa au utulie kama unanyolewa usikilizie??
Hii nayo iwe roketi sayansi??
loh nimecheka kwa loudspeaker
Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
sio mademu wote wavivu, mapenzi ni sanaa na ujuzi binafsi pia,
Kuna kademu changu cha ki-tanga ebhana eeh ni balaa anavyoshughulika, anavyozungusha hicho kiuno na hizo pumzi alizonazo!!!
Kuna demu niliwahi kuwa naye yaani alikuwa ni gogo+++ , hata mikao ya kukaa hajui !