Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Nani analala chooni, nani ana mapepo coz of mapambo...mmeambiwa mbona masaki watu wanaishi vizuri na vyote hivi. Acheni wivu wa maendeleo wajinga ndo waliwao.
Ikiwa magonjwa na mapepo ni Kwa maskini pekee,

Kwahiyo masaki au New York city hakuna magonjwa Wala makaburi?
 
INTRODUCTON.

Jinsia zote hupata mashambulizi ya kipepo, lakini Leo tuangalie sababu zinazofanya wanawake wengi kupata mashambulizi ya kipepo.

Makanisani tunaona Kila siku ni wao wakiangushwa na mapepo na hayatoki, yalitoka yanarudi. Imekuwa kama mchezo sasa wa kuigiza.

MAPEPO.

Hizi ni ROHO chafu, Malaika wa Giza waasi, agents wa kuzimu wanaopenda kukaa ndani ya miili ya WANADAMU.

MWILI NI HEKALU.

Mungu na shetani Ili kuoperate katika Ulimwengu unaoonekana, mwili unahitajika Ili utumike kama madhabahu ya kupokea vitu,taarifa ,maelekezo Kutoka Ulimwengu usioonekana na kuleta Ulimwengu unaoonekana.

MWILI pia unatumika kama HEKALU Ili Mungu akae ndani au Shetani kupitia Pepo akae ndani ya mtu.

(1 Koritho 6:19-20)

Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni HEKALU la Roho mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

(Romans 12:1-2).

Basi ndugu zangu nawasihi, Kwa huruma zake Mungu, Itoeni miili yenu iwe dhabibu, iliyo hai, TAKATIFU, ya kumpendeza Mungu ndiyo IBADA yenu yenye maana.

(2Korithians 6:14).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana, Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana urafiki Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya KRISTO na BERIALI?

Kwa kusoma vifungu vya BIBLIA hapo juu, Mungu anataka tuitoe miili yetu iwe takatifu na sadaka.

Wakati huo huo Shetani naye anaitaka miili hiyo hiyo ya WANADAMU iwe HEKALU lake, akae humo, na hapo ndipo vita inapoanza.

HOJA KUU: Kwanini wanawake wanashambuliwa zaidi na MAPEPO kuliko wanaume?

Zifuatazo ni baadhi ya sababu kuu zinazowaweka wanawake katika risk kubwa kushambuliwa na kutekwa na MAPEPO Kwa kujua au Kwa kutojua.

1. USHIRIKINA.

Kutokana na sababu kuwa wanawake ndio walezi wa watoto na familia, hukutana na changamoto kama magonjwa ya watoto, mashambulizi Kutoka Kwa maadui wabaya, mambo ambayo hupelekea kutaka kupata ufumbuzi nje ya Mungu na kutumbukia katika mkondo wa kwenda Kwa Waganga.

2. KUCHANJA CHALE.

Wawapo katika matibabu ya asili, KUCHANJA CHALE Huwa ni Moja ya mbinu watumiazo Waganga kama matibabu,

Wanawake wengi Kwa kutojua madhara yake hukubali KUCHANJA CHALE.

Chale ni ANTENA, mtu aliyechanja chale, ni sawa na tembo aliyepigwa chip pale Serengeti, unaweza kumfuatilia popote alipo na kujua afanyacho.

Hivyo Kwa KUCHANJA chale, inaruhusu kufuatiliwa au kushambuliwa na mapepo na unajiweka katika mazingira ya kupoteza ulinzi wa Mungu wa asili tangu Kuzaliwa.

3. UVAAJI WA MAPAMBO MWILINI.

Upo utawala katika Ulimwengu wa Giza unaoshughulika na mapambo na Vito, nknk,

Utawala huo uko chini ya Malkia wa Baharini, Roho hiyo ya Yezebeli inatumika na wachawi nk nk kushambulia Hasa wanawake Ili wawe MAKAHABA, huwavamia na kuwafanya wawe addicted na mapambo na vitu vya kidunia, lengo kuu ni kuhakikisha mwanamke anakosea muda wa kufundisha maadili ya Mungu katika familia.

-UVAAJI WA WIGS, NYWELE BANDIA.

Nywele bandia ni Moja ya vitu vinavyofungua portals, vinafungua codes za kiulinzi ulizonazo na kuruhusu mlango kufunguka Kwa mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao.

Uaona wanawake wengi Kila kukicha huvamiwa na mapepo, na hata yakifukuzwa, hurudi tena, sababu umeweka vitu vyao mwilini mwako.

-UVAAJI NGUO ZA KUBANA NA NUSU UCHI.

Tunasoma katika maandiko, Malaika wa Giza hutamani wanawake wa kibinadamu, hivyo uvaaji wa nguo za kikahaba, huvuta pia mapepo yaje kukuingia na kufanya makao ndani Yako Kwa kupenda au kuopenda, Kwa kujua au kutojua.

-KUWEKA KUCHA NDEFU BANDIA.
Asili ya kucha ndefu ni ufanane na Misukule, hivyo kuweka kucha ndefu ni kufungua mlango Ili uvamiwe na mapepo.

-UCHORAJI TATOOS NA HINA.

TATOOS zote na Hina zinafungua milango yote ya kiulinzi aliyoweka Mungu ya asili, hivyo kuruhusu mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao, haijalishi unasali au la.

-UVAAJI WA SHANGA VIUNONI NA VIKUKU.

Hii pia ni njia mojawapo inayokaribisha mapepo kuwavamia wanawake wenye kuvaa mapambo hayo Kwa kujua au Kwa kutojua.

Ndomana matatizo mwilini hayawaishi, Kila kukicha utasikia vitu vinakutembea mwilini au miwasho nk nk.

-UVAAJI WA PETE NA HERENI.

Hereni na Pete ni Ishara ya kumilikiwa.

Mabinti wengi hawachumbiwi sababu wanatoboa masikio na kuvaa hereni na Pete ambazo Huwa ni Ishara ya kumilikiwa.

Na kumilikiwa huko Huwa Si katika Mungu, ni katika Ulimwengu wa Giza.

Kuvaa mapambo hayo, kunakaribisha mapepo yawavamie na kuwageuza viti na mahekalu Yao.

Walio wa Mungu hawaruhusiwi kuvaa Pete au hereni maana vinaondoa utakatifu na maana halisi ya kuitoa miili yetu kuwa dhabihu TAKATIFU ya kumpendeza Mungu.

- UPULIZIAJI MANUKATO.

Yapo manukato wapuliziayo wanawake yanayovuta mapepo kuingia na kuwageuza WANADAMU mahekalu na viti vyao.

Ukipuliza manukato hayo, hayaombi huhusa, ni sawa na kuacha mlango wazi, Kila kitu kitaingua.

Na mambo hayo, uanaondoa uwepo wa Mungu na UTAKATIFU.

-UVAAJI WA CHENI SHINGONI, BANGILI NK NK.

Cheni inayovaliwa kama mapambo, humaanisha Utumwa, tangu enzi na enzi watumwa walikuwa wakiwekewa alama na kufungwa minyororo,

Hivyo kuvaa vitu hivyo ni kuruhusu Pepo wabaya kuingia na kutawala.

SOLUTION.

1. Acha mara Moja kuvaa mapambo tajwa hapo juu Ili upunguze mashambulizi ya mapepo.

2. Pia epuka kwenda Kwa Waganga, maana kwenda huko ni kufungua mlango Ili mapepo yaje kufanya makao ndani ya MWILI wako.

3. OKOKA, mkabidhi Yesu maisha Yako, akupe Amani yake, Damu ya Yesu itakusafisha na utakuwa kiumbe kipya.

4. Kataa USHIRIKINA, achana na marafuki wabaya ambao hutafuta msaada wa WANADAMU Kutoka Mizimu nk nk.


Mapepo yatafukuzwa na ukiacha kuvaa mapambo, utaufunga mlango Ili kuzuia mashambulizi ya kipepo once and for all.

ANGALIZO: YESU ANARUDI SOON, NI MUDA SASA WA KUHUBIRI INJILI YA UTAKATIFU.

YESU ANALITAKA,ANALIKUSANYA KANISA LAKE ILI LINYAKULIWE.

Amen.
Naona msaidizi wa Kakobe umesimama kwenye zamu yako!
 
Inasikitisha sana mimi nakutana na Wanawake wengi wanaoitwa single mothers, wamezalishwa wamebaki na watoto wanaume wamewatelekeza hata kuhudumia watoto wao hawataki.
Kwanini mtu timamu kabisa hataki kumhudumia mtoto wake wa damu yake?

Wanaume tunawaumiza sana Wanawake.
Binasfi huwa nasikitika sana hakika.

Wanawake kuweni makini sana na Wanaume mnao kutana nao Barabarani.
Kama kuzaa nao muwafanyi Utafiti kwanza kama wana hiari ya kulea watoto mnao zaa nao.
Hao ma single mothers wana mengi! Mpaka mwanaume akatae mtoto lazima kuna sababu! Wakati mwingine wanaume wanakatataa kusingiziwa watoto wasio wa kwako!
 
Unataka niwe pagani kama wewe?
Sifa kuu ya wafilisti /Wapalestina tangu enzi ilikuwa ni KUTOKUTAHIRIWA, na ndo waliitwa WAPAGANI sababu waliabudu miungu.

Njooni Kwa Yesu, msiwe WAPAGANI na kukaliwa na kuteswa na Mapepo!!
 
Sifa kuu ya wafilisti /Wapalestina tangu enzi ilikuwa ni KUTOKUTAHIRIWA, na ndo waliitwa WAPAGANI sababu waliabudu miungu.

Njooni Kwa Yesu, msiwe WAPAGANI na kukaliwa na kuteswa na Mapepo!!
Kwenye biblia mahari ya kuolea ni magovi ya wapalestina, unalijuwa hilo?
 
INTRODUCTON.

Jinsia zote hupata mashambulizi ya kipepo, lakini Leo tuangalie sababu zinazofanya wanawake wengi kupata mashambulizi ya kipepo.

Makanisani tunaona Kila siku ni wao wakiangushwa na mapepo na hayatoki, yalitoka yanarudi. Imekuwa kama mchezo sasa wa kuigiza.

MAPEPO.

Hizi ni ROHO chafu, Malaika wa Giza waasi, agents wa kuzimu wanaopenda kukaa ndani ya miili ya WANADAMU.

MWILI NI HEKALU.

Mungu na shetani Ili kuoperate katika Ulimwengu unaoonekana, mwili unahitajika Ili utumike kama madhabahu ya kupokea vitu,taarifa ,maelekezo Kutoka Ulimwengu usioonekana na kuleta Ulimwengu unaoonekana.

MWILI pia unatumika kama HEKALU Ili Mungu akae ndani au Shetani kupitia Pepo akae ndani ya mtu.

(1 Koritho 6:19-20)

Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni HEKALU la Roho mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

(Romans 12:1-2).

Basi ndugu zangu nawasihi, Kwa huruma zake Mungu, Itoeni miili yenu iwe dhabibu, iliyo hai, TAKATIFU, ya kumpendeza Mungu ndiyo IBADA yenu yenye maana.

(2Korithians 6:14).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana, Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana urafiki Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya KRISTO na BERIALI?

Kwa kusoma vifungu vya BIBLIA hapo juu, Mungu anataka tuitoe miili yetu iwe takatifu na sadaka.

Wakati huo huo Shetani naye anaitaka miili hiyo hiyo ya WANADAMU iwe HEKALU lake, akae humo, na hapo ndipo vita inapoanza.

HOJA KUU: Kwanini wanawake wanashambuliwa zaidi na MAPEPO kuliko wanaume?

Zifuatazo ni baadhi ya sababu kuu zinazowaweka wanawake katika risk kubwa kushambuliwa na kutekwa na MAPEPO Kwa kujua au Kwa kutojua.

1. USHIRIKINA.

Kutokana na sababu kuwa wanawake ndio walezi wa watoto na familia, hukutana na changamoto kama magonjwa ya watoto, mashambulizi Kutoka Kwa maadui wabaya, mambo ambayo hupelekea kutaka kupata ufumbuzi nje ya Mungu na kutumbukia katika mkondo wa kwenda Kwa Waganga.

2. KUCHANJA CHALE.

Wawapo katika matibabu ya asili, KUCHANJA CHALE Huwa ni Moja ya mbinu watumiazo Waganga kama matibabu,

Wanawake wengi Kwa kutojua madhara yake hukubali KUCHANJA CHALE.

Chale ni ANTENA, mtu aliyechanja chale, ni sawa na tembo aliyepigwa chip pale Serengeti, unaweza kumfuatilia popote alipo na kujua afanyacho.

Hivyo Kwa KUCHANJA chale, inaruhusu kufuatiliwa au kushambuliwa na mapepo na unajiweka katika mazingira ya kupoteza ulinzi wa Mungu wa asili tangu Kuzaliwa.

3. UVAAJI WA MAPAMBO MWILINI.

Upo utawala katika Ulimwengu wa Giza unaoshughulika na mapambo na Vito, nknk,

Utawala huo uko chini ya Malkia wa Baharini, Roho hiyo ya Yezebeli inatumika na wachawi nk nk kushambulia Hasa wanawake Ili wawe MAKAHABA, huwavamia na kuwafanya wawe addicted na mapambo na vitu vya kidunia, lengo kuu ni kuhakikisha mwanamke anakosea muda wa kufundisha maadili ya Mungu katika familia.

-UVAAJI WA WIGS, NYWELE BANDIA.

Nywele bandia ni Moja ya vitu vinavyofungua portals, vinafungua codes za kiulinzi ulizonazo na kuruhusu mlango kufunguka Kwa mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao.

Uaona wanawake wengi Kila kukicha huvamiwa na mapepo, na hata yakifukuzwa, hurudi tena, sababu umeweka vitu vyao mwilini mwako.

-UVAAJI NGUO ZA KUBANA NA NUSU UCHI.

Tunasoma katika maandiko, Malaika wa Giza hutamani wanawake wa kibinadamu, hivyo uvaaji wa nguo za kikahaba, huvuta pia mapepo yaje kukuingia na kufanya makao ndani Yako Kwa kupenda au kuopenda, Kwa kujua au kutojua.

-KUWEKA KUCHA NDEFU BANDIA.
Asili ya kucha ndefu ni ufanane na Misukule, hivyo kuweka kucha ndefu ni kufungua mlango Ili uvamiwe na mapepo.

-UCHORAJI TATOOS NA HINA.

TATOOS zote na Hina zinafungua milango yote ya kiulinzi aliyoweka Mungu ya asili, hivyo kuruhusu mapepo kuingia na kukufanya hekalu lao, haijalishi unasali au la.

-UVAAJI WA SHANGA VIUNONI NA VIKUKU.

Hii pia ni njia mojawapo inayokaribisha mapepo kuwavamia wanawake wenye kuvaa mapambo hayo Kwa kujua au Kwa kutojua.

Ndomana matatizo mwilini hayawaishi, Kila kukicha utasikia vitu vinakutembea mwilini au miwasho nk nk.

-UVAAJI WA PETE NA HERENI.

Hereni na Pete ni Ishara ya kumilikiwa.

Mabinti wengi hawachumbiwi sababu wanatoboa masikio na kuvaa hereni na Pete ambazo Huwa ni Ishara ya kumilikiwa.

Na kumilikiwa huko Huwa Si katika Mungu, ni katika Ulimwengu wa Giza.

Kuvaa mapambo hayo, kunakaribisha mapepo yawavamie na kuwageuza viti na mahekalu Yao.

Walio wa Mungu hawaruhusiwi kuvaa Pete au hereni maana vinaondoa utakatifu na maana halisi ya kuitoa miili yetu kuwa dhabihu TAKATIFU ya kumpendeza Mungu.

- UPULIZIAJI MANUKATO.

Yapo manukato wapuliziayo wanawake yanayovuta mapepo kuingia na kuwageuza WANADAMU mahekalu na viti vyao.

Ukipuliza manukato hayo, hayaombi huhusa, ni sawa na kuacha mlango wazi, Kila kitu kitaingua.

Na mambo hayo, uanaondoa uwepo wa Mungu na UTAKATIFU.

-UVAAJI WA CHENI SHINGONI, BANGILI NK NK.

Cheni inayovaliwa kama mapambo, humaanisha Utumwa, tangu enzi na enzi watumwa walikuwa wakiwekewa alama na kufungwa minyororo,

Hivyo kuvaa vitu hivyo ni kuruhusu Pepo wabaya kuingia na kutawala.

SOLUTION.

1. Acha mara Moja kuvaa mapambo tajwa hapo juu Ili upunguze mashambulizi ya mapepo.

2. Pia epuka kwenda Kwa Waganga, maana kwenda huko ni kufungua mlango Ili mapepo yaje kufanya makao ndani ya MWILI wako.

3. OKOKA, mkabidhi Yesu maisha Yako, akupe Amani yake, Damu ya Yesu itakusafisha na utakuwa kiumbe kipya.

4. Kataa USHIRIKINA, achana na marafuki wabaya ambao hutafuta msaada wa WANADAMU Kutoka Mizimu nk nk.


Mapepo yatafukuzwa na ukiacha kuvaa mapambo, utaufunga mlango Ili kuzuia mashambulizi ya kipepo once and for all.

ANGALIZO: YESU ANARUDI SOON, NI MUDA SASA WA KUHUBIRI INJILI YA UTAKATIFU.

YESU ANALITAKA,ANALIKUSANYA KANISA LAKE ILI LINYAKULIWE.

Amen.
Mkuu Kanisani Mapepo hayawezi kutolewa kwa njia ya Maombi sio rahisi kutoka mapepo katika mwili wa binadamu . Mapepo machafu yana utaratibu wake maalum kutolewa na sio kwa kutumia maombi ya wachungaji sio rahis kutoka mapepo.
 
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Hakuna mkristo humu hata mmoja, kwa maana ya lumfata kristo.
Humu kuna waislamu wengi ila najua ww pia sio muislamu kwa matendo na maneno yako.na usipende kudhan mafunzo yako ya dini ni gold standard. Acha kuchukia wasio waislamu hii mpaka umekuwa labeled hivo na watu ww nje ya uarabu na uislamu unaamin hivo vingine ni takataka usiwe hivo I beg u dada
 
Kumcha Mungu ndicho chanzo Cha maarifa na ufahamu.

Kwenda shule na Usijue Uwepo wa Mungu na shetani ni kupapasa gizani.
😂😂😂😂so ma atheists kina bill gates na Elon musk hawana akili we unayeona mapepo ndo umewazidi. Sawa mkuu
 
Mkuu Kanisani Mapepo hayawezi kutolewa kwa njia ya Maombi sio rahisi kutoka mapepo katika mwili wa binadamu . Mapepo machafu yana utaratibu wake maalum kutolewa na sio kwa kutumia maombi ya wachungaji sio rahis kutoka mapepo.
Mapepo yanatokewa Kwa Jina La YESU kristo.

Tofauti na hapo ni kupinga Pepo na kubembelezana nayo.

Wanawake waache kuvaa vitu vya mapepo Ili iwe Rahisi kuachana nayo moja Kwa moja!!
 
Kwahiyo kwako kununua MAKAHABA unaona ndio akili?

Kuwajaza mimba wasichana na Kutolea watoto ndo akili?

Baba na Babu Yako wangekuwa na mawazo kama uliyonayo, ungekuwepo Leo?
Babu na Babu yangu "whatever that means sijui ndo ushoga" hawakuishi enzi za Instagram, enzi za lodge kila sehemu watu wanakula wake za watu, wanawake ofisini kuliwa na mabosi zao, wanawake vyuoni kuliwa na walimu, mababu zetu hawakuishi kipindi ambacho mtu Akiwa Malaya anasifiwa na kuitwa slay queen. So usiforce kuishi maisha ya Babu yako katika dunia ya saa hivi utaumia
 
Tunaongelea mapepo halisi yanayowashambulia wanawake zaidi kuliko wanaume.

Zamani utabibu ulikuwa chini Bado.

Mapepo tunayoongelea ni wale ambao madaktari wamepima kila ugonjwa na kukosa sababu.

Madaktari mara nyingi wameshauri ndugu wa wagonjwa wawapeleke nyumba za Ibada wagonjwa baada ya wao kutoona ugonjwa.
😂😂😂😂😂Hizi story za watu kwenda hospital kukosa ugonjwa ni story za mwamposa umeenda zahanati kupima cancer kweli...unategemea nini...afu mtu akupigie kelele upone...hizi story bana...😂za kukusanya sadaka tu kwa wajinga
 
Babu na Babu yangu "whatever that means sijui ndo ushoga" hawakuishi enzi za Instagram, enzi za lodge kila sehemu watu wanakula wake za watu, wanawake ofisini kuliwa na mabosi zao, wanawake vyuoni kuliwa na walimu, mababu zetu hawakuishi kipindi ambacho mtu Akiwa Malaya anasifiwa na kuitwa slay queen. So usiforce kuishi maisha ya Babu yako katika dunia ya saa hivi utaumia
Mungu na SHERIA na maagizo ya Mungu hayabadiliki sababu ya utandawazi.

Hadi Leo, Wana wa Mungu Wana NDOA zenye upenda na Amani.

Njoo Kwa Yesu up one.
 
Nenda hospitali, kaa na doctors, ingia wodi ya vichaa utajua tofauti ya ukichaa wa kawaida na unaosababishwa na mapepo.

Wapo wagonjwa wengi wa ukichaa wamepelekwa hospitali, madaktari wamepima Kila aina ya ugonjwa hauonekani, mwisho waliwashauri ndugu wa mgonjwa kutafuta msaada katika nyumba za Ibada.

Kaa vizuri na madaktari wa vichaa, watakuambia ikiwa Kuna mapepo au la.
😂😂😂😂Hamna daktari anaamini mapepo uliona huyo sio daktari au anataka tu umchukue mgonjwa wako uondoke nae .. hivi vitu ni mental na vinajulikana ni mental so kama hajui tiba exactly doesn't mean ndo uweke mapepo. Zamani magonjwa yote watu walijua ni mapepo coz elimu na Sayansi haikuwepo saa hivi wanaamini mapepo ni watu wasio na elimu na maskini tu
 
Back
Top Bottom