- Thread starter
- #121
Ikiwa magonjwa na mapepo ni Kwa maskini pekee,Nani analala chooni, nani ana mapepo coz of mapambo...mmeambiwa mbona masaki watu wanaishi vizuri na vyote hivi. Acheni wivu wa maendeleo wajinga ndo waliwao.
Kwahiyo masaki au New York city hakuna magonjwa Wala makaburi?