Aggrey86
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 853
- 155
Mi nafikiri hapa sasa ndo wakati wa lile baraza la kina mama chadema waamke sasa kuhamasisha wanawake wenzao mfano ni wakina mama wa Ccm jinsi walivyo utaona hata chaguzi ya kina mama ya Ccm inavyokuwa na nguvu! So hapa wale viongozi wa chadema wa kina Mama uamke sasa!