Mkuu viti maalum ni mpango wa kupita tu wa kuwawezesha wanawake, halafu vinategemea idadi ya kura kutoka kwenye general election.Waongeze viti maalum mie mwenyewe nataka ubunge wa viti maalum
So tunarudi pale pale lazima upate uungwaji mkono wananchi kwanza ili viti viongezwe