MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,854
- 32,072
- Thread starter
- #61
Tena, hela ni zako na mwisho wa siku unagombanishwa na watotoIla mbegu mliyopwnda nyie ndio hamuoni madhara yake
Tena, hela ni zako na mwisho wa siku unagombanishwa na watotoIla mbegu mliyopwnda nyie ndio hamuoni madhara yake
Why are you being pessimistic?Mkuu, utapigwa tu mwisho wa siku, soma sababu zote saba, hauchomoi
Mbona Kama umeongeza chumvi Sana lkini?Tunawapenda tunataka mbadili tabia
Mkuu, we must call a spade by its name. Kama hakuna chema hakuna chema.Sawa naelewa hili. Lakoni tumeangalia impact ya hiyo experience.
Kwa mfano wewe uwe mzazi wa mwanao, i think experiences zako zingetumika vyema zaidi katika kujitahidi kumuonyesha mwanao jinsi ya kuepuka kupatana na experience ngumu kama zako.
Vivyo hivyo, ukiangalia the sharing ya experience kwa hawa vijana wanaochipukia sidhani kama ni positive. Mostly imefocus kwenye kuwaonyesha ubaya wa ndoa na wanawake kwa ujumla and at the same time tunahangaika kuwaaminisha kua ni vyema wawe vitombi zaidi..
Tunasahau pia sisi wanaume tutazaa mabinti ambao they have to deal with these same toxic men (ambao tumewatengeneza wenyewe through experiences zetu). So presha inakua mara mbili maana sidhan kama kuna mtu anataka mwanae wa kike ateseke.
TUnaziba tundu la panya kwa mkate. Very hopeless.
🤣🤣🤣 Tusio nabhela kweli hasira tupunguze maana dah...mbususu tunaishia kuziona xvideos tuuPunguza hasira tafuta hela swahba
Mbona ata chumvi sijaweka?Mbona Kama umeongeza chumvi Sana lkini?
Wapuuzi sana hawa wanawake ila mbususu zao tamu.Tena, hela ni zako na mwisho wa siku unagombanishwa na watoto
Wanaume wengi suruali, wanataka mtelezo kwa wanawake, mama zetu zamani walipata raha kweli kwenye ndoa, walivaa miwax bila malalamiko sio wanaume wa leo best, mara kataa ndoa, wanawake wa choyo, wakati mama yangu alisugua gaga nyumbani na kwao kajenga.Tumekukera Nini mbona kutusimanga alfajiri?
Sawa.. nakubali.Mkuu, we must call a spade by its name. Kama hakuna chema hakuna chema.
Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brewMe bahati mbaya au nzuri ninaamini kwenye traditional roles za men and women.
Men as breadwinners na women wako entitled domestic
Thats a way to go brotherWapuuzi sana hawa wanawake ila mbususu zao tamu.
Tusiache kuwagegeda mwanawane ila kuweka ndani hapana kabisa. Tusifanye huo ujinga
Hapana sio kwa society yangu mimi.Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brew
Duh 🙄Thats a way to go brother
My nigga, quick question, would you be okay if binti yako angefanyiwa hivi?Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brew
You cannot teach an old dog new tricksWhy are you being pessimistic?
Kama unaamini kupigwa ni lazima, why cant we come up na solution juu ya hili.?
Je ni jambo la ujasiri kukimbia matatizo?
Sisi wote tumezaliwa na mwanamke, na kwa kias kikubwa wengi waliofanikiwa kukulia kwenye familia zenye wazazi wote wawili ni watu ambao wanakua bora sana katika maisha yao.
Kwanini leo sisi tuwanyime vizazi vinavokuja hii asali jus because tumeshindwa kuhandle bad experiences zetu?
Hapo unaposema wanawake hawapendi familia Ni chumvi,tunaona jinsi vile wanamme mnaongoza kukimbia familia na kutelekeza watoto wakati mama ndio anakuwa ameshiklia majukumu yote mvua iwe jua,Mbona ata chumvi sijaweka?
Then now you see where shida ilipo.You cannot teach an old dog new tricks
Nimetembea nchi nzima mashambani wako akina mama na machungoni wako watotoHapana sio kwa society yangu mimi.
Traditionally mwanaume ndio mtafuta mkate hadi pale alipoharibu na kufanya hayo unayoyasema
Kizazi Cha baba zetu wanaume wa shoka ndio kinaishia,tumebaki na waume zetu walalamishiiiWanaume wengi suruali, wanataka mtelezo kwa wanawake, mama zetu zamani walipata raha kweli kwenye ndoa, walivaa miwax bila malalamiko sio wanaume wa leo best, mara kataa ndoa, wanawake wa choyo, wakati mama yangu alisugua gaga nyumbani na kwao kajenga.
Hao ni wanaume waliosahau majukumu yao ila baba yangu mzazi hakuwa hiviNimetembea nchi nzima mashambani wako akina mama na machungani wako watotot