Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Mkuu, utapigwa tu mwisho wa siku, soma sababu zote saba, hauchomoi
Why are you being pessimistic?
Kama unaamini kupigwa ni lazima, why cant we come up na solution juu ya hili.?
Je ni jambo la ujasiri kukimbia matatizo?
Sisi wote tumezaliwa na mwanamke, na kwa kias kikubwa wengi waliofanikiwa kukulia kwenye familia zenye wazazi wote wawili ni watu ambao wanakua bora sana katika maisha yao.
Kwanini leo sisi tuwanyime vizazi vinavokuja hii asali jus because tumeshindwa kuhandle bad experiences zetu?
 
Sawa naelewa hili. Lakoni tumeangalia impact ya hiyo experience.
Kwa mfano wewe uwe mzazi wa mwanao, i think experiences zako zingetumika vyema zaidi katika kujitahidi kumuonyesha mwanao jinsi ya kuepuka kupatana na experience ngumu kama zako.
Vivyo hivyo, ukiangalia the sharing ya experience kwa hawa vijana wanaochipukia sidhani kama ni positive. Mostly imefocus kwenye kuwaonyesha ubaya wa ndoa na wanawake kwa ujumla and at the same time tunahangaika kuwaaminisha kua ni vyema wawe vitombi zaidi..
Tunasahau pia sisi wanaume tutazaa mabinti ambao they have to deal with these same toxic men (ambao tumewatengeneza wenyewe through experiences zetu). So presha inakua mara mbili maana sidhan kama kuna mtu anataka mwanae wa kike ateseke.
TUnaziba tundu la panya kwa mkate. Very hopeless.
Mkuu, we must call a spade by its name. Kama hakuna chema hakuna chema.
 
Mkuu, we must call a spade by its name. Kama hakuna chema hakuna chema.
Sawa.. nakubali.
But if sisi kama wanaume we are so perfect,
Kwanin tusibadilike?
Mi nna wazo, instead ya kila siku kukomaa kukataa ndoa na kuwaponda wanawake,
Kwanini sasa tusigeuze gia na kuanza kuwaelekeza hawa hawa wanawake jinsi ya kuishi na sisi?
Maana smtyms tunawalaumu lakini yaweza kua either hawajui what we want, au pia sisi wenyewe tumekua reason ya haya yote.
Kila stori ina pande mbili
 
Me bahati mbaya au nzuri ninaamini kwenye traditional roles za men and women.
Men as breadwinners na women wako entitled domestic
Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brew
 
Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brew
Hapana sio kwa society yangu mimi.
Traditionally mwanaume ndio mtafuta mkate hadi pale alipoharibu na kufanya hayo unayoyasema
 
Tena traditions and customs zetu role ya mwanamke ni kubwa kwenye kuzalisha mali. Babu zetu walikua wanaoa majembe, kigezo kilikua mwanamke sharti awe mchapa kazi, mlikua mnashindishwa shambani na kutunza mifugo huku wanaume tumenyoosha miguu tuna sip local brew
My nigga, quick question, would you be okay if binti yako angefanyiwa hivi?
Lets emphasize, aolewe, awe jembe kwelikweli akikomaa, then mumewe awe amekaa ana sip local brew.
If that okay with you, then sina swali zaidi. U a lost cause.
If its not okay, then come up with a better solution rather than kupinga na kuponda.
 
Why are you being pessimistic?
Kama unaamini kupigwa ni lazima, why cant we come up na solution juu ya hili.?
Je ni jambo la ujasiri kukimbia matatizo?
Sisi wote tumezaliwa na mwanamke, na kwa kias kikubwa wengi waliofanikiwa kukulia kwenye familia zenye wazazi wote wawili ni watu ambao wanakua bora sana katika maisha yao.
Kwanini leo sisi tuwanyime vizazi vinavokuja hii asali jus because tumeshindwa kuhandle bad experiences zetu?
You cannot teach an old dog new tricks
 
Mbona ata chumvi sijaweka?
Hapo unaposema wanawake hawapendi familia Ni chumvi,tunaona jinsi vile wanamme mnaongoza kukimbia familia na kutelekeza watoto wakati mama ndio anakuwa ameshiklia majukumu yote mvua iwe jua,
Halafu unasema ni zana potofu kufikiria mwanaume ndio bread winner,hebu refer tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu Nani Ni breadwinner kwenye familia,nyie kizazi Cha kataa ndoa ndio mnataka kubadil nature....
TAFUTENI HELA JAMANI
 
Wanaume wengi suruali, wanataka mtelezo kwa wanawake, mama zetu zamani walipata raha kweli kwenye ndoa, walivaa miwax bila malalamiko sio wanaume wa leo best, mara kataa ndoa, wanawake wa choyo, wakati mama yangu alisugua gaga nyumbani na kwao kajenga.
Kizazi Cha baba zetu wanaume wa shoka ndio kinaishia,tumebaki na waume zetu walalamishiii
 
Back
Top Bottom