Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,905
- Thread starter
- #61
Wachaa kutamaniwa kukoje ,kupendwa kukojeNa ajifunze kutofautisha kupendwa na kutamaniwa
Wachaa kutamaniwa kukoje ,kupendwa kukojeNa ajifunze kutofautisha kupendwa na kutamaniwa
Kila kazi ina mshahara wake. Amelipwa stahili yake halali.Sina mimba just a question kadada kadogo kazuri kamezalishwa
I love you too beb...😍Hivi tukiwa serious ndoa yako ipo inapumuliq gesi saizi hadi unasubiria divorce ili uoe tena mama kaenda nje kwa mzunguu
Wakati mna sex hamkujua kuna results? kabla hamjafanya mkubaliane kabisa outcome or else msi shiriki kabisaMnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Rais akishashinda urais, kampeni za nini tena?Mnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
shida ni kwamba ashki/Genye zinakuwa nyingi, kichwa cha chini kinawaza mengi kuliko kichwa cha juu, wakishamaliza ndio wanagutukaWakati mna sex hamkujua kuna results? kabla hamjafanya mkubaliane kabisa outcome or else msi shiriki kabisa
Kabla hamjafanya sex lazima kwanza muwekeane malengo haimainishi kila unapokuwa kwenye mahusiano lazima ubebe mimba lazima kuwa na maridhiano ya pande zote mbili kabla, sasa wewe unabeba mimba wakati mwenzako hajapanga awe na mtoto kwa wakati huo ndio maana inaleta hiyo shida.
Tatizo mnapenda sana matozi na sio wanaume ndo maana mnapigwa matukioMnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Mean hauna self control, master self control and nothing itakuendesha not even nyegeshida ni kwamba ashki/Genye zinakuwa nyingi, kichwa cha chini kinawaza mengi kuliko kichwa cha juu, wakishamaliza ndio wanagutuka
TATIZO NDIO HUANZIA HAPOMean hauna self control, master self control and nothing itakuendesha not even nyege
Kwhiyo ..........ushaliwa!Mnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Kama binti/mwanamke ukijua tu kuwa mimba utabeba wewe miezi 9 peke yako basi utatambua kuwa mtoto ni wako. Fanya kavukavu kwa akili! Beba tumbo pale unapotaka wewe na ukiwa at full capacity otherwise utatusumbua tu rafiki na ndugu zako.Mnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
hapana ndugu mwasibu, wamemmimbaWamekupiga mimba?
wewe si nilikuambia ufungue pm au uniandikieMnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Ehwewe si nilikuambia ufungue pm au uniandikie