Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,901
Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara?
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa. Mama akabaki kwa bahati nzuri.
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.
Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa. Mama akabaki kwa bahati nzuri.
Wanaume muwe na roho basi kuua wanawake kisa mali sio fresh.