Wanaume ni wahanga wa viloba gongo na kuleta ukimwi ndani ya ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umegonga Ikulu. Wengi huwa wakilia na kugaagaa madhabahuni wakituombea sisi tuache gambe, games cha mchangani na kutapanya fedha hovyo. Usikute hata mafanikio ya wanaume wengi ni kupitia sala za hawa akina mama/wake zetu walioamua kumgeukia Mungu...wengi hawaendi kwa matatizo yao binafsi ila ni matatizo yetu sisi wanaume tuache Ulevi, Uasherati ama hata familia iinuke kiuchumi..