Kwanini vijana wa siku hizi wanapenda mahusiano na watu waliowazidi sana Umri?

Aaaaaaaaah wapi! Vizee tunavipendea KUHONGA BABA KUHONGAAAAA!!!!!!!!!1 MIDOLARI! VINAJICHINJA VYENYEWE WALA HUNA HAJA YA KUVIOMBA!!!!!!!!!!!!!!! Japo vipira na athumani jicho moja makunyazi matupu na mvi kila mahalaa potelea pote! CHEZEA FARANGA WEYEEEEEEEE!

FYI vijana wazamani wako njemaaa mbayaaa! Afu ni jando originale! Not to mention 30 years of experience in the same industry!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Utawalinganisha hawa digitali wanajifunzia pono kwenye Youporn mwalimu wao ile migogo ya kikoloni! Chakula chenyewe chips yai ikauke sanaa, vitamin watoe wapi? Nonihino inavalishwa modo na boxer inabanwaaa masaa 24 haipati hata wasaa wa kujininginiza ku relax! Wanadai msuli ushamba! Msuli dawa! ---- ndo linavishwa mkanda, no wonder viuno gogo! Mkanda kuwekwa kiunoni kuna maana!

Yours truthful in building the nation

Lara 1

(Dean of Students Kamasutra University)

Lara1

Kwa jicho la pembeni ni kama unachokoza ugomwi kati ya 'generation' ya zamani na 'generation' ya leo leo. Binafsi nimeona unawapa funzo vijana wa leo leo kuwa wajizatiti kwenye majambozi na matunzo ya wenza wao maana ni dhahiri 'old skuli' wanalazimika kuwasaidia kutunza wenza wao kwa hali na mali.

Bado nimeguswa na "thirty years experience in the same industry..." hii matata sana
 
eheheee ila lara mi napingana na wewe ...kuna vijana pia wanajua kucare sana tu ...na vijana gemu lao hadi utateguka ..wazee dkk 2 hoi!
hawa vijana wengi hawawapendi kama alivosema mleta mada cause watakuzeeshea tu mwili wako maana siku nzima yupo tu unlikely hawa wazee wa vodafasta...at least watakuacha na ubrand new k yako!
ila all in all tuache uzinzi ...mi nimeokoka kabiasa!
Mtume na Nabii Smile shikamoo.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hao watu wazima wanachukulia umri wa serikali....miaka kuanzia 40 na kusonga!!!

Tena umenikumbusha, na hata hao wazee wanaozungumzwa ni hawa wa mjini wenye matatizo chungu nzima...

Wengi wa wazee mjini wameathiriwa na matatizo ya kiafya, mfumo wa maisha na sex drive kwao ipo chini sana...

Hivyo hii risechi bado ina walakini kwa kiasi fulani....
Wazee wengi wa mikoani wametulia na wazee wenzao hii mambo ya
wazee kutokatoka nayaona Dar na Tanga kwa kiasi kikubwa.
 
Nadhani hao watu wazima wanachukulia umri wa serikali....miaka kuanzia 40 na kusonga!!!

Tena umenikumbusha, na hata hao wazee wanaozungumzwa ni hawa wa mjini wenye matatizo chungu nzima...

Wengi wa wazee mjini wameathiriwa na matatizo ya kiafya, mfumo wa maisha na sex drive kwao ipo chini sana...

Hivyo hii risechi bado ina walakini kwa kiasi fulani....

Hili lina ukweli

Lakini kuna ka kitu ka kujiuliza hapa,ni kwanini hizi kelele zimezidi?

Au kuna kundi halijiamini hapa?

Nashindwa kupata majibu hasa!
 
Yaani mwanamme at 40, ni sawa na nyama ya kuchoma ilotiwa ndimu, pilipili na kachumvi:glasses-nerdy:, if you know what I mean. Matatizo ya kiafya yapo tu bila kujali umri ujue?

Nadhani hao watu wazima wanachukulia umri wa serikali....miaka kuanzia 40 na kusonga!!!

Tena umenikumbusha, na hata hao wazee wanaozungumzwa ni hawa wa mjini wenye matatizo chungu nzima...

Wengi wa wazee mjini wameathiriwa na matatizo ya kiafya, mfumo wa maisha na sex drive kwao ipo chini sana...

Hivyo hii risechi bado ina walakini kwa kiasi fulani....
 
Wazee wengi wa mikoani wametulia na wazee wenzao hii mambo ya
wazee kutokatoka nayaona Dar na Tanga kwa kiasi kikubwa.

Mkuu kuna haja ya kuwekana sawa hapa

Hebu tueleze ni "wazee" gani unawazungumzia hapa?

Tuwekee umri!
 
Wametulia unamaanisha nini? Tatizo mahusiano ya binti na mzee yanahusishwa na uzinzi tu. Sehemu zingine ni sehemu ya maisha yao ya kawaida. Mfano,shangazi yangu alikuwa na miaka 16, aliolewa kwa kufuata taratibi zote na mwanamme wa miaka takribani 48, walizaa watoto 8, na waliishi pamoja hadi kifo kilipowatenganisha mwaka 2009, mme alikuwa na miaka karibu 90.
Tatizo liko wapi?

Wazee wengi wa mikoani wametulia na wazee wenzao hii mambo ya
wazee kutokatoka nayaona Dar na Tanga kwa kiasi kikubwa.
 
Wazee wengi wa mikoani wametulia na wazee wenzao hii mambo ya
wazee kutokatoka nayaona Dar na Tanga kwa kiasi kikubwa.

Kwa mantiki hii (maandishi katika wino mwekundu), unaonaje hata kichwa cha habari hii ungelikibadilisha?
 
Truth young ndo wako na power to manage bed
sasa mzee na jando yake
brain insaficient memory
kachoshwa na matatzo ya dunia kitanda hata kiwezea wap
 
Yaani mwanamme at 40, ni sawa na nyama ya kuchoma ilotiwa ndimu, pilipili na kachumvi:glasses-nerdy:, if you know what I mean.

Ha ha ha...mimi na wewe iko ongea lugha moja....nimekupata vilivyo Konnie...over!!!
 
Aaaaaaaaah wapi! Vizee tunavipendea KUHONGA BABA KUHONGAAAAA!!!!!!!!!1 MIDOLARI! VINAJICHINJA VYENYEWE WALA HUNA HAJA YA KUVIOMBA!!!!!!!!!!!!!!! Japo vipira na athumani jicho moja makunyazi matupu na mvi kila mahalaa potelea pote! CHEZEA FARANGA WEYEEEEEEEE!

FYI vijana wazamani wako njemaaa mbayaaa! Afu ni jando originale! Not to mention 30 years of experience in the same industry!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Utawalinganisha hawa digitali wanajifunzia pono kwenye Youporn mwalimu wao ile migogo ya kikoloni! Chakula chenyewe chips yai ikauke sanaa, vitamin watoe wapi? Nonihino inavalishwa modo na boxer inabanwaaa masaa 24 haipati hata wasaa wa kujininginiza ku relax! Wanadai msuli ushamba! Msuli dawa! ---- ndo linavishwa mkanda, no wonder viuno gogo! Mkanda kuwekwa kiunoni kuna maana!

Yours truthful in building the nation

Lara 1

(Dean of Students Kamasutra University)

ha ha ha hii laana hii
 
Back
Top Bottom