GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,672
Rogue said:Swali kwa dada zetu...
ni nini kinachomvutia binti kuwa na uhusiano na baba mtu mzima old enuf to be baba mzazi..lets discuss more sababu besides the obvious reason ya MKWANJA..
madada zetu wanalalamika vijana we cant "handle" them well kama vizee..
OK LADIES..TUPENI SOMO PLEASE
Wakuu, huu ni uchunguzi nilioufanya na kubaini kuwa moja ya sababu inayowafanya Mabinti wengi kuwapenda wanaume 'Wababa' ukiacha sababu ya fedha ni kuwahawachelewi kuchoka tofauti na vijana ambao huganda muda mrefu kwenye usukani,
Nimebaini kuwa hii ni tofauti kwa wanawake watu wazima 'wamama' ambao hupenda vijana kutokana na kumudu udereva vile itakiwavyo.
Wanawake 20 ambao wanafanya shuguli za kuuza baa 16 kati yao walisema kuwa hufurahia zaidi kukutana na wanaume watu wazima tofauti na vijana kwani wengi waohawachelewi kuchoka.
"Utapewa elfu kumi 'ataendesha gari kidogo tu kisha huyoo anajilalia'(nimepunguza ukali wa maneno aliyotumia)" Hayo alizungumza Lidya mfanyakazi wa Bar ya jambo iliyoko Yombo Lumo- Dar huku akiungwa mkono na wenzake kadhaa ambapo mmoja aliongeza kuwa "ile elfu kumi (10,000) unayochukua kwa mzee ni tofauti na ile ya kijana, ya mzee haina ugumu lakini kijana itakutoa jasho mpaka asubuhi pia si ajabu ukaamkia kuota jua hawa vijana hawa.... wana balaa." Alimalizi Nyanzala mmoja wa wafanyakazi wa baa hiyo.
Hata hivyo nimebaini kuwa kina mama watu wazima wao hupenda zaidi vijana hii inanipa maswali magumu kidogo.
1. Ina maana wanawake watu wazima wana nguvu kuliko wanawake vijana?
2. Itakuwaje kwa wanawake vijana wa leo watakapokuwa watu wazima?
3. Nini kinasababisha wanawake vijana kukosa nguvu?