Baada ya kukaa ughaibuni kwa muda mrefu nikawaza kujenga kibanda changu huko mbweni hivyo nikaomba ushauri kutoka kwa ndugu na jamaa.Vitu vingi nikiuliza naambiwa ni vya kutoka South Africa,mabati vigae, bei ya cement ni kubwa saana nikaambiwa ni kwa sababu Cement inapelekwa S.Africa na Congo.Kampuni zetu kama Mbezi tiles nasikia zimekufa.Naombeni mawazo yenu watu wenye uzoefu wa mambo ya ujenzi ndani ya Dar-es-salaam