Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ni mwanangu nae kapata baada ya kumsomea mzigo amegoma kujafata barua
Sasa ana uhakika gani kama atapata hiyo nyingine anayoisubiri?

Kama uko nae Karibu mwambie afate barua aripoti kituo Cha kazi haraka sana. Baada ya miaka mitatu ndio afanye Taratibu za kuanza kushughulikia uhamisho wa Taasisi yoyote anayotaka kwenda.
 
siku ya usahili,NIRC walikuja na cluiser kali kinoma noma,nikasema hapa kuna maisha,sio unapiga pepa na taasis wanakuja na kirikuu haloo
, daaa mkuu umenichekesha sanaa. Ila Taasisi zenye mpunga mkali ni zile zilizopo wizara ya maliasili na utalii, yaani ukiingia mule ni kuogelea kwenye Pipa la asali kila wakati, angalia mfano, TAWIRI, TAFORI, TFS, TAWA, TWMA n.k
 
Back
Top Bottom