Taifa likiwa na wakati mgumu wa kujua ni nani ambaye atateuliwa kuwa mkuu wa Tanroad....kwani utendaji wa sasa umelisababishia taifa hasara kubwa sana katika mikataba yake na wakandarasi....chief aliyetangulia MR. Mrema akisaidiwa na ENG.MFUGALE waliiweka TANROAD wakati mgumu wa madeni kwenye mikataba mibovu na wakandarasi.....
nini kinakwamisha uteuzi wa chiefu na kuacha taasisi ikiendeshwa kimagumashi?
nini kinakwamisha uteuzi wa chiefu na kuacha taasisi ikiendeshwa kimagumashi?