We bwana we, kama una bifu na serikali kawavae.Mnaitaka faraja hiyo wakati mnaishangilia serikali inayofanya hivyo?
Mleta mada alitaka kusikia maoni ya upinzani kuhusu hii bomoa bomoa. Kama huna jibu au maoni kuhusu hili basi potezea. Mimi siwezi kukusaidia na frustrations ulizonazo na serikali.