Kwanini upinzani wetu umeshindwa kututetea badala yake wanatetea wakwepa kodi na mafisadi ya ACACIA?

Ukitegemea upinzani ukutetea utaishia kuwalaumu tu. Wananchi wanatakiwa wajitetee wenyewe kwa kupitia kwenye sanduku la kura.
 
N
Wala usitegemee kupata jibu hapa. Swali lako ni rahisi sana:

UPINZANI JAMANI, MBONA MMETUSAHAU TUNAOBOMOLEWA NYUMBA ZETU?

Watu wanakimbilia kusemea makinikia, mikataba mibovu, ufisadi wa CCM, n.k.
yumba zinabomolewa na nani vile?
Kama ni mvamizi toka nje ya nchi, JWTZ si wapo?
Na kama ni mvamizi wa ndani, jeshi la polisi na mgambo si wapo?
Kama ni serikali yetu inabomoa, ikamateni serikali yetu.
Wapinzani wanahusikaje?
Acheni kulalamika enyi wapiga dili.
 
Mahaba kwako jemedari...!

Sumu ya panya inaua hadi mbwa, boma halikaliki sasa.
Kweli.
Lakini haya yote tulitahadharisha tokea mwanzo.
Wenye chama chao wakatupa vijembe kwa kuwa ishu wakati ule ilikuwa mikutano ya hadhara ya siasa na kwa kuwa ya kwao ilikuwa inaendelea, wakadhani wako salama.
Sasa panga linakata kote kote.
Tuvumilie maumivu sote.
 
N

yumba zinabomolewa na nani vile?
Kama ni mvamizi toka nje ya nchi, JWTZ si wapo?
Na kama ni mvamizi wa ndani, jeshi la polisi na mgambo si wapo?
Kama ni serikali yetu inabomoa, ikamateni serikali yetu.
Wapinzani wanahusikaje?
Acheni kulalamika enyi wapiga dili.
Hata neno la faraja pia hakuna toka upinzani? Basi yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kwa nini asiishangae kauli yake?
Iweje wapinzani watutetee dhidi ya serikali yetu?
Ina maana serikali yetu ni kandamizi?
Kama ni serikali pendwa chini ya Rais wetu mpendwa, kwa nini wananchi tuhitaji utetezi?
Labda serikali yetu ina kigugumizi hivyo anataka msemaji wa serikali awe huyu ndugu 'upinzani'
 
Unajitekenya kambi ya upinzani walikutetea sana bungeni miaka hiyo na ccm mlikataa na mkasaini mikataba hewa leo unajitekenya.

Swissme
Hii quote yako mbona ina utata.

Nadhani huyo ni mwenzio lakini hujamuelewa
 
Unadhani mbele ya rushwa kuna mpinzani? Wapinzani wote walihongwa na ngoyai, wakabadili gia angani, sasa wanaimba wimbo wa nyeupe, na nyimbo nyingine kama za acacia n.k., kwa ufupi tumshukuru Mungu kwa CCM
 
Watawatetea mara ngapi walipowaambia kwa maneno, kwa vitendo, kwa maandamano mpaka wakatoka nje ya bunge lakini hamkusikia. Hata mwaka huu Lisu akazidi kuwakumbusha bado hamkusikia. Sasa hapo mnalaumu nini au mnatakà muonewe huruma wakati hamtaki kuwasikia. Nyie sio ndio mnawaona wapinzani sio Watanzania. Mmeshabugi kilichobaki mwambieni huyo mkuu wenu afute mbio za mwenge ili muwe salama bila hivyo CCM Mtalala milele
 
Mkuu serikali yako ni sikivu hata wewe unaweza kuipazia sauti. Wasaidie hata msaada wa kisheria sio kulaumu tu. Je wewe umefanya kipi kuwasaidia?
 
Back
Top Bottom