Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Lengo la upinzan ni kutetea maslahi ya wananchi wanyonge na kuisimamia selikali, cha kusikitisha upinzani wetu wao wanajali matumbo yao tu wakifukuzwa bungeni huungana kwa pamoja kumushitaki speaker kwa maslahi yao
Kwa sasa wananchi wako kwenye matatizo makubwa ya hapa na pale wao wapo kimya nyumba na makazi ya watu yanabomolewa wao wamekaa tu, uhuru wa kujieleza haupo tena wao wamekaa kazi yao ni kutetea mafisadi
Acacia waliposhikiliwa makinikia yao hawa wapinzani wetu walikuja juu sana hadi nikasema yes huu ndo upinzani sasa lakin kwa sasa nyumba zinabomolewa na hakuna fidia wamekaa kimiya hakuna hata mmoja anayepasa sauti yake
Kwahiyo nyie wapinzani kazi yenu ni kutetea mafisadi, wauza ngada na wakwepa kodi? Mbona huku kitaa hatuwaelewi
Nguvu yenu kama upinzani iko wapi kwanini haionekani?
Kwanini msisimame upande wetu wanyonge badala ya kusimama upande wa mafisadi na wakwepa kodi?
Hao wakwepa kodi wanawalipa kiasi gani ili nas tujichange tuwe tunawalipa kiasi hicho muweze kusimama upande wetu wanyonge?
Wengine mtajadili mwandiko wangu mara hapa hujaweka koma, mara umeandika utumbo gan huu badala ya kujadili hoja
Balikiwen katika bwana
Cc mbitiyaza
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Lengo la upinzan ni kutetea maslahi ya wananchi wanyonge na kuisimamia selikali, cha kusikitisha upinzani wetu wao wanajali matumbo yao tu wakifukuzwa bungeni huungana kwa pamoja kumushitaki speaker kwa maslahi yao
Kwa sasa wananchi wako kwenye matatizo makubwa ya hapa na pale wao wapo kimya nyumba na makazi ya watu yanabomolewa wao wamekaa tu, uhuru wa kujieleza haupo tena wao wamekaa kazi yao ni kutetea mafisadi
Acacia waliposhikiliwa makinikia yao hawa wapinzani wetu walikuja juu sana hadi nikasema yes huu ndo upinzani sasa lakin kwa sasa nyumba zinabomolewa na hakuna fidia wamekaa kimiya hakuna hata mmoja anayepasa sauti yake
Kwahiyo nyie wapinzani kazi yenu ni kutetea mafisadi, wauza ngada na wakwepa kodi? Mbona huku kitaa hatuwaelewi
Nguvu yenu kama upinzani iko wapi kwanini haionekani?
Kwanini msisimame upande wetu wanyonge badala ya kusimama upande wa mafisadi na wakwepa kodi?
Hao wakwepa kodi wanawalipa kiasi gani ili nas tujichange tuwe tunawalipa kiasi hicho muweze kusimama upande wetu wanyonge?
Wengine mtajadili mwandiko wangu mara hapa hujaweka koma, mara umeandika utumbo gan huu badala ya kujadili hoja
Balikiwen katika bwana
Cc mbitiyaza
LONDON BABY