GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
- Thread starter
- #21
Hii imetulia sana!Sio kweli ndoa umeielewa vibaya, dhumuni sio kupata watoto, watoto ni baraka kutoka kwa Mungu. Dhumuni la ndoa ni kujipatia msaidizi na kuwepo watoto au wasiwepo ni sawa tu. Adam aliumbiwa msaidizi ila Mungu aliwaagiza wazae waongezeke wakaijaze nchi. Kuzaa ni sehemu ya uumbaji ya Mungu mwenyewe kupitia mwanadamu.