Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 241
Ukiwa mgeni kwenye nyumba yoyote ya watu iwe rafiki yako au ndugu yako kwanini lazima unafiki ukupate mifano ya unafiki hii chini.
Umeandaliwa chakula hata kama wamekupa kingi au kidogo kwanini lazima ubakize na kujidai sio mlaji kabisa.
Mtoto wa mwenyeji wako mtundu balaa mara akudandie kichwani mara anakuambia anko unakula sana, anko mbona huondoki kwetu umekuja kula tu.. Na wewe kwa kujua kabisa anakosea unajinafkisha unawaambia wenyeji wako, junior amekuwa sana siku hizi anaongea huyo wakati angekuwa mtoto wako fimbo kala mda MREFU SANA. NK
KWANINI UNAFIKI UKIWA MGENI KWA WATU UNAKUPATA AUTOMATICALLY?
Umeandaliwa chakula hata kama wamekupa kingi au kidogo kwanini lazima ubakize na kujidai sio mlaji kabisa.
Mtoto wa mwenyeji wako mtundu balaa mara akudandie kichwani mara anakuambia anko unakula sana, anko mbona huondoki kwetu umekuja kula tu.. Na wewe kwa kujua kabisa anakosea unajinafkisha unawaambia wenyeji wako, junior amekuwa sana siku hizi anaongea huyo wakati angekuwa mtoto wako fimbo kala mda MREFU SANA. NK
KWANINI UNAFIKI UKIWA MGENI KWA WATU UNAKUPATA AUTOMATICALLY?