Junior, mtoto anayesumbua Wageni: Hivi hili jina lina shida gani au malezi?

Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda

Senior Member
Feb 1, 2023
101
241
Hebu fikiria ile umeenda kumtembelea ndugu Au rafiki yako unakutana na mtoto mtundu balaa Ile umetulia tu sebureni baada ya kukaribishwa anakuja mtoto wa wenyeji wako age miaka kama mitano hivi anakuambia Anko umejamba mbele ya wenyeji wako na wewe hujafanya kitendo hicho basi unajikaza kaza pale mama yake anajichekesha pale ww junior Acha kumsumbua mgeni hujakaa sawa mara kumbe mtoto amezunguka nyuma ya kochi kakufinya afu kakimbia kujificha.

Haujakaa sawa ile umeletewa soda mara mtoto anakuambia anko usimalize yote unibakiziage unamsikia mama yake junior ndio alivyo mvumilie huyo what yani nimvumilie mtoto tena wa miaka mitano hivi huyu anamleaje mtoto ile sijakaa sawa mtoto huyo ananipekua mifukoni anko huna hela usile chakula chetu Leo.

Sasa nikasema huyu mtoto nikisipo tumia mbinu za kutia ADABU hapana atanizoea mana tayari mood alishanikata Japo Ni mtoto lakini Nikaanza Kutafuta Upenyo Ili Kakinisogelea Mama Yake Akitoka tu nikafinye LAKINI KWA BAHATI MBAYA NILIKOSA HIYO NAFASI SIKU ILE NA NILIONDOKA BIRA KUMTIA ADABU JUNIOR MANA KWA MALEZI YALE YA WALE WAZAZI WAKE SIO ULEAJI ULE.

JE KWANINI WAKINA JUNIOR NI WATUNDU
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalik....
😂😂😂Nmepata kigugumizi.

Yani ni ukweli umesema.
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule...
Wewe tena!!

Huu unaofanya ni unafiki mkubwa. Unajifanya hujui Kuna watoto ni watundu kupindukia na wewe peke yako ndiye mwenye kujua malezi.

Kwenye ule uzi wangu uligombana na kila mtu kwa huu mtazamo wako.
 
HIVI JUNIOR KWA KISWAHILI NI UTUNDU AU NI MALEZI AU JINA LINA MATATIZO KWANINI WATOTO HUWA WATUNDU WENYE MAJINA HAYA

Hebu wazia ile umeenda kumtembelea ndugu Au rafiki yako unakutana na mtoto mtundu balaa Ile umetulia tu sebureni baada ya kukaribishwa anakuja mtoto wa wenyeji wako age...
Junior(Jr) kwa kiswahili ni dogo, Yusufu dogo au Yusufu junior.
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
Hahahahaha 🤣 weekend njema Dr
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
Ha ha ha,aisee
 
Wewe tena!!

Huu unaofanya ni unafiki mkubwa. Unajifanya hujui Kuna watoto ni watundu kupindukia na wewe peke yako nsiye mwenye kujua malezi.

Kwenye ule uzi wangu uligombana na kila mtu kwa huu mtazamo wako.
Utanipinga tu Satoh lakini huo ndio ukweli mchungu,

Tutafute hela usiku na mchana, Junior hawezi kukudharau
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
Aisee
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
Kabisa Aisee, Dogo ameshaona hata Wazazi wake wanamdharau jamaa sasa iweje yeye amuheshimu
 
Ngoja niwape siri nyie mnaosumbuka na hao watoto, iko hivi wewe lazima amekuona choka mbaya na kuna story anazisikia hapo Mama yake akikusema kua unapenda kupiga mizinga, unapenda kwenda kwenda kwake kula, hupendi kazi unachagua nakadhalika,
Mtoto ana pita mule mule,

Mtu yoyote akiwa smart na vihela hela, mtoto hawezi kumfinya au kumpekua mifukoni,

Tutafute hela jamani tusidharauliwe hadi na kina Junior.
Unless ni utani.
Ila hakuna uhalisia kwa ulichochangia.
When it comes to respect mama said,"it's for everyone, no boundaries"
 
Back
Top Bottom