Kwanini Una Mke/Mume/Mpenzi?

Mkuu Umeoa au Una Mpenzi? Kwa Mtizamo wangu nafikiri kama una mpenzi au umeoa basi utajua ni kipi kilichokufanya uoe au uolewe. Nimtazamo tu mkuu.

Me kidume,...
nimeoa....ila sijui kwa nini!
Nimependa sana web page,..."bongoland.webs.com"
 
Nilikuwa na girl friend kwakuwa nilikuwa nataka kuoa, na nilioa kwakuwa nilikuwa najisikia um grown up. I just felt ready for those sweet responsibilities including some which you mentioned.
 
Me kidume,...
nimeoa....ila sijui kwa nini!
Nimependa sana web page,..."bongoland.webs.com"

Hata maongezi Yako Yanaonesha wewe kidume, hiyo ki2 hapo juu niliweka kama msisitizo kuz kuna watu wengine wanaweza kuanzia hapo kusoma na wakaelewa. Samahani kama utaona nimekuvunjia heshima yako. Mkuu karibu http://www.bongoland.webs.com tupo kwaajili yenu.
 
Nilikuwa na girl friend kwakuwa nilikuwa nataka kuoa, na nilioa kwakuwa nilikuwa najisikia um grown up. I just felt ready for those sweet responsibilities including some which you mentioned.

Umeoa Kwakuwa Umekuwa mkubwa. Hongera mkuu.
 
  1. Je Kwa Sababu Unahitaji Watoto/Mtoto?
  2. Je Kwa Sababu Unahisi Upweke Uwapo Pekee?
  3. Je Kwa Sababu Babu/Bibi Wanataka Mjukuu/Wajukuu?
  4. Je Kwa Sababu Huwezi Ishi Pekee?
  5. Je Kwa Sababu Ni Desturi Ya wanadamu?
  6. Je Kwa Sababu Umekuwa mkubwa?
  7. Je Kwa Sababu Unataka Upate Warithi Wa Mali Zako?
  8. Je Kwa Sababu Unaogopa kupata Magonjwa Ya zinaa?
  9. Je Kwa Sababu Unahitaji Kufanya Mapenzi?
  10. Je Kwa Sababu Rafiki Yako Ana Mke/ Mume?

Swali:- Je Kwanini Una Mpenzi/Mke/Mume?


Angalizo: Usipooa/kuolewa Utaitwa Mchoyo, Hufanyi Kazi, Shoga, Unaogopa Majukumu, Mchawi N.k.
Weekend Njema Wakuu, Tukutane ZANZIBAR BAR kwa Wapenda Kiti fire.

...NONE OF THE ABOVE!...

Nilioa kwakuwa nilipendana nae (mke wangu) kuliko mwanamke mwingine yeyote.
 
kwa sababu imeandikwa " Adam akasema hakika huyu ni nyama katika nyama zangu na ni mfupa katika mifupa yangu na jina lake ataitwa mwanamke"
 
wengine tulitaka k tukapata watoto alafu ikabidi tujenge kakibanda na miaka nenda rudi sasa twaona wajukuu
 
Back
Top Bottom