Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Kwamba na we unajipakulia unasepa...afu wamo humu wanakusapoti tu, dunia inaelekea mwisho aisee, leo mwanamke anaona fahari kuwa na ujuzi wa aina za duduz..hehe
Hata kama picha alizopigwa kipindi hiko mbaya zikivuja hazinihusu