jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,750
- 16,364
roho ngumu yetu umeigunduaje na wewe sio mhusika? mtuache bhana. let past be past na tugange yanayoendelea.Kwanini udanganye? wala sitakiwi kuuliza chamsingi hutakiwi kuolewa bila bikra, mtunzie heshima hiyo baba watoto wako sio mnazaa mwenzio anahesabu wa kwanza kumbe kichwani unahesabu angekuwa wa nane, mnaroho ngumu sana hata furaha sijui mnaipataje ndoani duh...
loooh kwa nini mnatukomalia kihiivyo? mtuache kapisaaaa