Msonjo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 1,308
- 2,227
Mada umewamulika wababa, lakini wapo wamama pia ambao hawana thamani mbele ya watoto wao (japo wachache).
Lakini ipo hivi, hivyo unaweza ukaona tatizo lipo wapi, ila linadhihitika zaidi kwa akina baba kwa sababu kutoka na nafasi zao wanahitajika kufanya jitihada kubwa ili kuweka mambo sawa.
Lakini ipo hivi, hivyo unaweza ukaona tatizo lipo wapi, ila linadhihitika zaidi kwa akina baba kwa sababu kutoka na nafasi zao wanahitajika kufanya jitihada kubwa ili kuweka mambo sawa.