Enyi Watanzania wenzangu hebu niambieni,KWANINI ICT TUMETAWALIWA NA WAHINDI?Jaribuni kuangalia kampuni zote Tanzania zinazojihusisha na mambo ya IT.Je wao wananini cha zaidi ya kutushinda sisi wazawa?kwanini sisi tuwe wafanyakazi wao wakati Uwezo wakujiendesha tunao?Tushauriane jamani,Au nyinyi hamuoni hilo?