mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Nimekua Arusha kwa muda mwingi hii desember nimekutana na vijitangazo kibao kuhusu waganga wa kienyeji wengi utasikia wanatoka rukwa,sumbawanga,ufipa,kigoma alakini huwezi sikia mganga kutoka moshi,vipi hili lina uhusiano gani na maendeleo na changamoto zima la maendeleo ya kiuchumi kielimu na mambo mengine. Vipi kuna ukweli hapo au ni mt
azamo wa watu??au tuelewe nini kuhusu hizo sehemu watokapo hao waganga??
Kwa sababu wao ndio wateja. Stupid