Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Wanabodi,
Hapa Tanzania kuna sherehe nyingi sana za Kitaifa kila mwaka. Na sherehe hizi hufanyika katika mikoa mbalimbali ya Tanzania. Mfano siku wa watoto Kitaifa, Kumbukumbu ya Mashujaa wa Taifa, Mei Mosi Kitaifa, Kuwasha au Kuzima Mwenge Kitaifa, Siku ya Wanawake Kitaifa n.k., zipo nyingi.
Huu ni utafiti nilioufanya takribani kwa miaka minne iliyopita. Lakini kwa bahati mbaya sana, sijawahi kusikia au kuona sherehe hizi za Kitaifa zikifanyika Mkoani Kilimanjaro (Moshi).
Labda kuna tatizo huko...
Hapa Tanzania kuna sherehe nyingi sana za Kitaifa kila mwaka. Na sherehe hizi hufanyika katika mikoa mbalimbali ya Tanzania. Mfano siku wa watoto Kitaifa, Kumbukumbu ya Mashujaa wa Taifa, Mei Mosi Kitaifa, Kuwasha au Kuzima Mwenge Kitaifa, Siku ya Wanawake Kitaifa n.k., zipo nyingi.
Huu ni utafiti nilioufanya takribani kwa miaka minne iliyopita. Lakini kwa bahati mbaya sana, sijawahi kusikia au kuona sherehe hizi za Kitaifa zikifanyika Mkoani Kilimanjaro (Moshi).
Labda kuna tatizo huko...