Kwanini rais wetu hatembelewi?

Simple analysis but very true......jamaa hana marafiki wa Afrika yeye na Marekani tu,maana katika safari za nje alizofanya JK nyingi ni za Marekani....

Kuna kabinti kanasoma marekani so huwa anakwenda kukasabahi....
 
ana marafiki wakuu wawili katika africa - Muswati na Zhuma - bado napeleleza kiini cha urafiki wao.

Kuhusu kumtembelea - simpo kama mdau alivyosema - wewe kila siku kiguu na njia kusaka misaada, sasa waje kutembelea nini? majengo ya ikulu?
 
Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).

Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?

Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.

Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.

Nipo tayari kukosolewa



teh teh teh... yaani wakati mwingine sijui mnafikiria kwa kutumia nini duh. mbona YOWERI KAGUTA MUSEVENI alikuwepo nchini last week tu.
uwe unakuja na takwimu bwana, mambo ya kuongea bila data hatutaki yanakuwa majungu tu hayo.
 
Huwa anaomba yeye aje kutembelewa, kama alivyomwomba mama clinton aje nchini
 
Jaman acheni hizo mkuu wa nchi huwa anapokea ugeni wa viongozi wakubwa toka ughaibuni mara kibao. Nafkr ndiye rais aliyepokea viongozi wengi ambao ni popular duniani zaidi ya marais waliopita.

Pia tusibeze kabila au eneo atokalo mkuu wa nchi, tatizo la mtu mmoja lisifanywe la wote. Wapo wakwere na watu toka pwani ambao utendaji wao umetukuka. So plz JK has nothing to do with wakwere and pipo from magogoni.

JK ni mkuu wa nchi na rais wetu pia aliyewekwa madarakani kwa mujibu wa katiba na demokrasia. Hivyo kama mkuu wa nchi ajengewe na kupewa heshima. Sikatai yeye kukosolewa, ila ukosoaji mwingne umevuka mipaka na maadili.
 
SIONE,acha ushabiki wa kijinga.Ina mana dafu likiwa ndani ya fungu la nazi nalo tuliite nazi?Kuwa mkuu wa nchi isiwe sababu ya kutokuanikwa mapungufu yake.
 
Now days bana ukitaka post yako ipate replies nyingi we andika chochote kumponda JK
Ugreat thinker wote utaisha, watu wataanza kuchangia mada kishabiki kama walevi vile
 
Anatembelewa na CEOs kama wa Vodacom, Symbion na wacheza mipira ya vikapu huko Marekani.
 
Now days bana ukitaka post yako ipate replies nyingi we andika chochote kumponda JK
Ugreat thinker wote utaisha, watu wataanza kuchangia mada kishabiki kama walevi vile

Umeona ndugu yangu..,ushabiki wa chama ndio upo mbele zaidi kuliko maswala ya kitaifa..,..,
 
Naomba mtu aconfirm hapa kwamba, Mwai Kibaki hawajahi kukanyaga TZ toka Jakaya
awe Rais. noting that Kenya is the East African Giant Economy.
 
Tusubiri ujio wa wasanii tu,maana ndio watu muhimu kwa huyu jamaa yetu wa Msoga.
 
nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).

Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?

Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za africa na ndio maana maraisi wa malawi, botswana, msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.

Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.

Nipo tayari kukosolewa

hakuna cha kujifunza kutoka kwake, watakuja kufanya nini sasa?
 
Kila siku hayupo, watamtembeleaje?

Kwakweli kama ni rafiki basi KIONGOZI wetu ni rafiki wa Bar...Huna haja ya kwenda kumuona kwake hata kama anaumwa; UTAKUTNA NAYE TUU KAUNTA:)

Kama siyo mkutano wa AU; Basi UN; kama siyo huo hata japo kwenye safari aliyotakiwa kumtuma DESK OFFICER atakwenda mwenyewe....Hahitaji kutembelewa kabisa kwani HAYUPO HOME KUONGEA NA WAGENI WAKE!!!!!
 
ana marafiki wakuu wawili katika africa - Muswati na Zhuma - bado napeleleza kiini cha urafiki wao.

Kuhusu kumtembelea - simpo kama mdau alivyosema - wewe kila siku kiguu na njia kusaka misaada, sasa waje kutembelea nini? majengo ya ikulu?

Hao washkaji wawili hapo kwenye bold sifa yao kubwa ni kuwa zipu zao hazina stopa, sasa kwa mkulu sijui rank yake katika nyanja hiyo.
 
[/B][/I][/U]teh teh teh... yaani wakati mwingine sijui mnafikiria kwa kutumia nini duh. mbona YOWERI KAGUTA MUSEVENI alikuwepo nchini last week tu.
nimeshajibu hili soma posts zote utaona kuna swali pia naomba uisome halafu jibu.
 
Back
Top Bottom