Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,257
- 34,205
Juzi juzi hapo marais wa Afrika waliungana katika mkutano wa Urusi na Afrika. Kila kiongozi alipewa nafasi ya kutoa yake. Nadhani katika hotuba zilizofunika ni za huyu "rais kijana" wa Bukina faso!
Nikakaa nikawaza aina ya viongozi wetu hapa bongo kuanzia juu mpaka chini ambao baadhi yao kazi yao kuu ni kumpamba rais nikabaki naumia tu!
Nikakaa nikawaza aina ya viongozi wetu hapa bongo kuanzia juu mpaka chini ambao baadhi yao kazi yao kuu ni kumpamba rais nikabaki naumia tu!